Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,812
- 156,950
Uandishi wangu mbovu cz shule sina mkuuKwa uandishi huo bora akufilisi ubaki na meno.
Huyu dogo zamani kipindi ana miaka2 nilikuwa namwekea video za cartoon za kudownload zile ndefu ....kwa sasa ana miaka 3.2 ndugu nilimfundisha kuangalia video YouTube Leo najuta....
Hataki za kudowload anataka kuangalia mwenyewe YouTube tena anachagua anayotaka...
Nadhani unaelewa mchakato wa bando...ukimkataza kilio chake ci mchexo yaniiii...
Naomba ushauri nimfanye nn...
Pesa ngumu siwexi kuweka bajeti ya bando daily kwa ajili yake majukumu mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
hapa tunajulishwa kuwa dogo ni kichwa anafungua youtube mwenyeweUnataka tukupe ushauri gani?
Usiombe tu ushauri bali yawezekana kasha anza kuangalia porno za YouTube so wewe ni kama mwehu tu huwez kuzaa alaf ukaomba ushaur Wa kitoto kama huuHuyu dogo zamani kipindi ana miaka2 nilikuwa namwekea video za cartoon za kudownload zile ndefu ....kwa sasa ana miaka 3.2 ndugu nilimfundisha kuangalia video YouTube Leo najuta....
Hataki za kudowload anataka kuangalia mwenyewe YouTube tena anachagua anayotaka...
Nadhani unaelewa mchakato wa bando...ukimkataza kilio chake ci mchexo yaniiii...
Naomba ushauri nimfanye nn...
Pesa ngumu siwexi kuweka bajeti ya bando daily kwa ajili yake majukumu mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dogo zamani kipindi ana miaka2 nilikuwa namwekea video za cartoon za kudownload zile ndefu ....kwa sasa ana miaka 3.2 ndugu nilimfundisha kuangalia video YouTube Leo najuta....
Hataki za kudowload anataka kuangalia mwenyewe YouTube tena anachagua anayotaka...
Nadhani unaelewa mchakato wa bando...ukimkataza kilio chake ci mchexo yaniiii...
Naomba ushauri nimfanye nn...
Pesa ngumu siwexi kuweka bajeti ya bando daily kwa ajili yake majukumu mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuUsiombe tu ushauri bali yawezekana kasha anza kuangalia porno za YouTube so wewe ni kama mwehu tu huwez kuzaa alaf ukaomba ushaur Wa kitoto kama huu
Imekaaje hii mkuu bei yake maana umenishawishi japo sidhani kama coverage yake TTCL itakuwa kubwa,na vipi kuhusu speed yake.Nunua laini ya ttcl ya kulipia bando la mwezi kwa ajili ya internet bila kikomo
Sent using Jamii Forums mobile app
DuMkuu usi tusumbue izo ni shida zako umezi taka mwenyeweee afu ina onekana una mlea sana so kubaliana na yote tu
Sent using Jamii Forums mobile app