kuchangumu
JF-Expert Member
- Apr 2, 2014
- 724
- 290
Salama wakuu!
Mimi nina mtoto wa miaka 5 mtoto huyu anapenda sana katuni anaweza kuangalia katuni asubuhi mpaka jioni bila kuchoka
Na ikitokea ukizima Tv ni kilio mtindo mmoja mpaka uwashe
Kuhusu shule anasoma chekechea na huwa nikimpaga home work natumia nguvu za ziada sababu ya katuni
Je kuangalia katuni kwa masaa mengi kunaweza kumwadhiri?
Au katuni zinaweza kumjengea uwezo zaidi?
Naombeni kueleweshwa wanajamvi natarajia majibu mazuri kutoka kwenu
Natumai ulimaanisha kumuathiri.
Jibu ni ndio, anaweza kuathirika kisaikolojia na hata kimwili kwani anaweza kuiga mambo yanayofanywa na vikatuni akajiumiza au kuumiza wenzake.
Kila kitu kina limit zake. Anza kumbadilishia utaratibu, awe na wakati maalum wa kutazama katuni, nzuri zaidi ni zile zenye kufundisha. Awe na muda wa kusoma, hii unaanza kumzowesha kwa wewe kumsomea vitabu vyenye hadithi za kitoto zenye mafunzo, kumbuka, siyo kumhadithia, kumsomea. Awe na wakati wa kucheza, awe na wakati wa kupumzika.
Nakushauri google "child rearing" utapata kujifunza mengi, kuna kila aina ya mafunzo kuhusu kulea mtoto vyema.
Kama ana bibi, shangazi au ahli zake wako shamba (kijijini) mpeleke akakae nao kwa muda wa miezi miwili au mitatu atabadilika.
Salama wakuu!
Mimi nina mtoto wa miaka 5 mtoto huyu anapenda sana katuni anaweza kuangalia katuni asubuhi mpaka jioni bila kuchoka
Na ikitokea ukizima Tv ni kilio mtindo mmoja mpaka uwashe
Kuhusu shule anasoma chekechea na huwa nikimpaga home work natumia nguvu za ziada sababu ya katuni
Je kuangalia katuni kwa masaa mengi kunaweza kumwadhiri?
Au katuni zinaweza kumjengea uwezo zaidi?
Naombeni kueleweshwa wanajamvi natarajia majibu mazuri kutoka kwenu
While parenting is a joy, it's also hard work which is whyI'm sharing these effective and loving parenting techniquesSalama wakuu!
Mimi nina mtoto wa miaka 5 mtoto huyu anapenda sana katuni anaweza kuangalia katuni asubuhi mpaka jioni bila kuchoka
Na ikitokea ukizima Tv ni kilio mtindo mmoja mpaka uwashe
Kuhusu shule anasoma chekechea na huwa nikimpaga home work natumia nguvu za ziada sababu ya katuni
Je kuangalia katuni kwa masaa mengi kunaweza kumwadhiri?
Au katuni zinaweza kumjengea uwezo zaidi?
Naombeni kueleweshwa wanajamvi natarajia majibu mazuri kutoka kwenu
AAAAAAAAAAAAAAAAaaaaaaaaaaaaaa
zote ni Imani tupu kuangalia Katuni kuna faida kubwa hasa kwa kukuza kipaji chake
Katuni peke yake ni Tamthilia inayojitosheleza kwani huwa zina Fasihi na Tafsiri nyingi tu
Huyp mtoto anaweza kuwa mchoraji mahiri na akawa bingwa fasihi choraji
Katuni moa t inaweza kuwa na maana ya tafsiri aidi ya 100
sawa lakini asiangalie sana abakize na muda wa homework!
Salama wakuu!
Mimi nina mtoto wa miaka 5 mtoto huyu anapenda sana katuni anaweza kuangalia katuni asubuhi mpaka jioni bila kuchoka
Salama wakuu!
Mimi nina mtoto wa miaka 5 mtoto huyu anapenda sana katuni anaweza kuangalia katuni asubuhi mpaka jioni bila kuchoka
Na ikitokea ukizima Tv ni kilio mtindo mmoja mpaka uwashe
Kuhusu shule anasoma chekechea na huwa nikimpaga home work natumia nguvu za ziada sababu ya katuni
Je kuangalia katuni kwa masaa mengi kunaweza kumwadhiri?
Au katuni zinaweza kumjengea uwezo zaidi?
Naombeni kueleweshwa wanajamvi natarajia majibu mazuri kutoka kwenu
Darsa zuri sana hili, litanufaisha wengi.Natumai ulimaanisha kumuathiri.
Jibu ni ndio, anaweza kuathirika kisaikolojia na hata kimwili kwani anaweza kuiga mambo yanayofanywa na vikatuni akajiumiza au kuumiza wenzake.
Kila kitu kina limit zake. Anza kumbadilishia utaratibu, awe na wakati maalum wa kutazama katuni, nzuri zaidi ni zile zenye kufundisha. Awe na muda wa kusoma, hii unaanza kumzowesha kwa wewe kumsomea vitabu vyenye hadithi za kitoto zenye mafunzo, kumbuka, siyo kumhadithia, kumsomea. Awe na wakati wa kucheza, awe na wakati wa kupumzika.
Nakushauri google "child rearing" utapata kujifunza mengi, kuna kila aina ya mafunzo kuhusu kulea mtoto vyema.
Kama ana bibi, shangazi au ahli zake wako shamba (kijijini) mpeleke akakae nao kwa muda wa miezi miwili au mitatu atabadilika.
Du miaka 5 unampa Home work
Hata chekechea hawawapi hivyo ngoja afike STD IV au V
mpe katuni za aina nyingi mfano za Lugha ya Kiingereza Boomerang, CT Catoon mbona zinamafunzo mengi na atakuwa mwepesi wa lugha kuliko Comedian za akina Joti
Ni tatizo kubwa sana kwa sababu akili yake itakua imeconcentrate sana kwenye katuni. kwa time zote ndani ya kichwa chake anakua anafikiria katuni tu, mwisho akili yake itakua haifanyi kazi kwenye masomo na ataanza kukwambia masomo magumu bado yuko mdogo. Mkataze au weka television chumbani au ifiche rimote
Dahh hahahaaa umenikumbusha mimi kama miaka miwili iliyopita nilinunua katuni fulani ya katoto keusi sijui ndo Kirikou or something, ya kiswahili yani ile dvd ilikua haipumui inachezwa kuanzia asubuhi mpaka jioni, hamna kuangalia mpira hamna habari hamna chochote na mkitoa ni kilio cha ajabu mpaka muweke. Mbona nilihamisha tv nikadai iko kwa fundi, kama miez miwili hivi hadi akasahau. Iliporudi na ile dvd niliivunja kwa jinsi nilivyokua na hasira. Baada ya hapo ni strict timetable baas. Thenx God ulikua upepo tu ukapita, kumbe tuko wengi? Pole mkuu....
Mimi mwanangu hupendelea kumnunulia katuni ya DORA THE EXPLORER hii inafundisha mambo mengi na huwa inamshirikisha yeye mtoto kujibu maswali na mambo mengi ,katuni kama tom and jerry mi sidhani kama inafundisha....na kuhusu kwamba anangalia katuni sana sio nzuri ...too much is badNatumai ulimaanisha kumuathiri.
Jibu ni ndio, anaweza kuathirika kisaikolojia na hata kimwili kwani anaweza kuiga mambo yanayofanywa na vikatuni akajiumiza au kuumiza wenzake.
Kila kitu kina limit zake. Anza kumbadilishia utaratibu, awe na wakati maalum wa kutazama katuni, nzuri zaidi ni zile zenye kufundisha. Awe na muda wa kusoma, hii unaanza kumzowesha kwa wewe kumsomea vitabu vyenye hadithi za kitoto zenye mafunzo, kumbuka, siyo kumhadithia, kumsomea. Awe na wakati wa kucheza, awe na wakati wa kupumzika.
Nakushauri google "child rearing" utapata kujifunza mengi, kuna kila aina ya mafunzo kuhusu kulea mtoto vyema.
Kama ana bibi, shangazi au ahli zake wako shamba (kijijini) mpeleke akakae nao kwa muda wa miezi miwili au mitatu atabadilika.
Mimi mwanangu hupendelea kumnunulia katuni ya DORA THE EXPLORER hii inafundisha mambo mengi na huwa inamshirikisha yeye mtoto kujibu maswali na mambo mengi ,katuni kama tom and jerry mi sidhani kama inafundisha....na kuhusu kwamba anangalia katuni sana sio nzuri ...too much is bad