Chunga sana. Hawa watakuwa na m-pesa paswd yako.wanachukua pesa wanaamishia kwenye a/c yako then wanadraw.nina rafk yangu polis yuko kitengo cha money laundering & cyber security.amekamata watu weng wasio na hatia.kuna mtu wameingiza kwenye ac yake 2 elfu na kakamatwa kaesabiwa mil 7.yeye hajui lolote. Pambana na maneja na baada ya bank statment nenda polis.ni atari kubwa chukua taadhari