Msaada mtoto wangu mbegu moja imepotea

Msaada mtoto wangu mbegu moja imepotea

Atapona tu ni suala la muda mwili waa mtoto au mtu yoyote unajijenga wenyewe haujemgwi na Daktari ungekua mwili unajengwa na Daktari Papa asingekufa maana Madaktari wamehangaika wameshindwa ngoma ngumu
Kama pumbu imekwamia tumboni mwanangu mpaka ishushwe kwa upasuaji! Mungu tutamsingizia!
 
Ana umri gani na je anasumbuliwa na tumbo kuunguruma kama ndio njoo pm nikupe dawa ya asili.
 
Back
Top Bottom