hyusuph
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 1,655
- 693
Mkuu acha wasiwasi n by the way hata mm nilipokuwa mtt nakumbuka niliwahi kimeza sarafu enzi zile cjui ilikuwa ni shs ngapi ila nakumbuka ckuwa na courage ya kumwambia mama about that incident coz mama alikuwa mkali ka mbogo nilihofu angenichapa sana so nilikausha na nakumbuka nothing bad happened nadhani niliitoa kene haja kubwa tuu