Msaada: Mtoto Wangu Amemeza Sarafu ya Sh 50

Msaada: Mtoto Wangu Amemeza Sarafu ya Sh 50

Kama unauhakika ameimeza (through oesophogus) Kuna uwezekano mkubwa ikatoka kwa njia ya haja kubwa bila tatizo lolote kwakuwa sarafu yenyewe ni ndogo, lakini kama imeingia njia ya hewa (trachea) ni hatari sana na inaweza kuziba hewa muda wowote endapo sarafu hiyo itabadili position. X-ray inatosha kuonyesha imefika wapi although CT-Scan pia inaweza but too expensive.

Kama ameimeza lazima itatoka kabla ya 3 or 4days. Endapo itakwama basi itasababisha maumivu, kukosa haja kubwa na hata utumbo kujifunga hii ni mara chache sana na tiba yake ni operation kuiondoa sarafu. Kwa sasa mtoto atumie vyakula laini sana na matunda na maji ya kutosha ili apate choo kiurahisi. Chakula kigumu ni hatari kwa sasa.
USHAURI ZAIDI NA UCHUNGUZI NENDA HOSPITALI UWEZE KUWA NA UHAKIKA.
 
mmezeshe simaku yenye kikamba hiyo sh. fisi itanasa tu alafu utaivuta kirahisi tuu.
 
What????? Hapana dear kua na amani na kwa usalama zaidi weka password kila kona

hahahhaha mi sichepuki simu naweka peupeeee lol hivi yule binti na boyfriend wake sijui waliendeleaje baada ya kupona
 
hahahhaha mi sichepuki simu naweka peupeeee lol hivi yule binti na boyfriend wake sijui waliendeleaje baada ya kupona

Yule alikua anachepuka ndomana kafanya vile. Angua mkweli angekua huru
 
Back
Top Bottom