Msaada: Mtoto mchanga wa mwezi mmoja hajawahi kulia

Mimi mwanangu alipozaliwa alilia kidogo, ila ilimchukua mwezi kutoa sauti akilia, hivyo kama hakulia sababu ndio hiyo. nashauri mwende muhimbili au mkamuone Dr Masawe!
 
Tatizo hatujui kwanin halii na hospital wanasema mtoto yuko vizuri hana shida
Kumbe ni shida hii? mwanangu siku ya kwanza kumuona analia alikua na mwezi mmoja na nusu, alilia baada ya kuchomwa sindano, kabla ya hapo si kuwahi kumuona analia hata siku anazaliwa hakulia, alipata shida alivunjika bega pamoja na hilo hakuwahi kulia hata
 
Mtoto anakaribia kufikisha mwezi toka azaliwe lakini hajawahi hata kulia wala kusema nini tatizo tumejaribu hosptali nyingi wanasema hana tatizo !! Msaada
Hizi hospitali zetu hizi eti hana tatizo wanapotosha, mtoto ni lazima alie, mwanangu hakulia ila walitumia mashine kumfanya alie... Kingine local staili huwa wana mkamata mtoto miguu wanambinua kichwa chini wanapiga kwenye nyayo na mtoto analia,
 
Kumbe ni shida hii? mwanangu siku ya kwanza kumuona analia alikua na mwezi mmoja na nusu, alilia baada ya kuchomwa sindano, kabla ya hapo si kuwahi kumuona analia hata siku anazaliwa hakulia, alipata shida alivunjika bega pamoja na hilo hakuwahi kulia hata

Mwanao aliscore ngapi alipozaliwa?
 
Kumbe ni shida hii? mwanangu siku ya kwanza kumuona analia alikua na mwezi mmoja na nusu, alilia baada ya kuchomwa sindano, kabla ya hapo si kuwahi kumuona analia hata siku anazaliwa hakulia, alipata shida alivunjika bega pamoja na hilo hakuwahi kulia hata
lilivunjika au liliteuka?
 
Hizi hospitali zetu hizi eti hana tatizo wanapotosha, mtoto ni lazima alie, mwanangu hakulia ila walitumia mashine kumfanya alie... Kingine local staili huwa wana mkamata mtoto miguu wanambinua kichwa chini wanapiga kwenye nyayo na mtoto analia,
Fuata ushauri hapa.... Utaona positive changes...
 
pole mkuu...km mtoto halii wala kutoa sauti na hana shida yoyote basi jua hana shida na inawezekana bado hajakuja dunian...acha miezi miwili ipite kisha rudi hosp kwa uchunguzi zaidi.Anaweza akawa kati ya watoto wachache sana waliozaliwa wakiwa hivyo yan hawaliii!..usiogope wala nn...mlee mtoto ipo siku atalia hadi utaomba pooooooooo
 
Waliniambia ana 7 ila iliandikwa 5 ili akae kwenye uangalizi

Sawa, niliwahi kuangalia kipindi katika Television mtoto pia hakulia hadi anafika miezi kadhaa na ikaonekana ana shida katika mwili wake kwamba unashindwa kuhisi mfano baridi, joto, maumivu sehemu na hata kushika vitu vya moto.
 
Sawa, niliwahi kuangalia kipindi katika Television mtoto pia hakulia hadi anafika miezi kadhaa na ikaonekana ana shida katika mwili wake kwamba unashindwa kuhisi mfano baridi, joto, maumivu sehemu na hata kushika vitu vya moto.
Ila pia inawezekana ni nature ya mtoto tu sio mliaji
 
Mkuu nenda ukamuone Dr Massawe huyo ndio gwiji wa magonjwa ya watoto japo skutishi ila jamaa fulani alikua na mtoto ana matatizo sana ya afya katika maswali aliulizwa na daktari ni je mtoto alilia wakati wa kuzaliwa akasema hapana
 
naogopa kusema
ila mungu akufanyie wepesi kuna utando kwenye ulimi wai kwa wataalamu akatwe otherwise anaweza kuwa bubu
nisamehe lakini umeomba ushauri hata mimi nimeumia pia
 
Back
Top Bottom