Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 62,541
- 108,196
Ha ha ha makonzi tena hayo lazma yamlizehata ukimpa makonzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha makonzi tena hayo lazma yamlizehata ukimpa makonzi?
oh my that's so scarey!!!!Hapana hakuvutwa kwa vyuma alishikwa tu hata sijui what happened, nilikuja kujua siku ya saba naona mfupa umetokeza kwa juu ya ngozi kama vile uvimbe, tukaenda moi wakasema kavunjika ila kwakua ni mtoto litajiunga tu lenyewe, sahivi naona yupo good pameungana
Mkwe hizo ngumi zitakuhusu wewe oooh sorry namlea kizungu nimeisahau hautapigwa tehoh my that's so scarey!!!!
duh!!!
aisee hicho kidume si mchezo atakayekula ngumi zake ajue hakuna tena kurudi, tutakutana parapanda ikilia
mmmm unauhakika???Alipozaliwa hakulia mkuu
Hilo la kuangalia ulimi laweza kuwa msaada mmoja wapo wa kutoa ufumbuzi wa tatizoUmeenda hospitali ngapi tofauti? jaribu na sehemu nyingine (hospitali). pia kama kuna wazee pembeni wamuangalie hata ulimi wake isije ikawa ni bubu
pole sana
Mkwe hizo ngumi zitakuhusu wewe oooh sorry namlea kizungu nimeisahau hautapigwa teh
hakulia? mh kuna tatizo wangu alichapwa tukofi twa makalio mpaka akatoa sauti nadhani kuna tatizoAlipozaliwa hakulia mkuu
Pole sana mkuu,kama mtoto alivyozaliwa hakulia na wametumia forceps or vacum delivery (kuvutwa) katika kumtoa nina wasiwasi anaweza kuwa amepata kitu kinaitwa *cerebral palsy.*Tatizo hatujui kwanin halii na hospital wanasema mtoto yuko vizuri hana shida
Nlikua naamka nakaa, hili swala la kulia mie najua ni shida siku ya kuzaliwa sijawahi kujua baada ya hapo asipolia ni shida
nilisahau kuuliza. usiku ulikuwa unamnyonyeshaje?
naona tunachanganya mtoto kilizi na mtoto anayelia akiwa na shida.
sasa mtoto wa mleta mada kajikausha mwezi mzima. wakiamua wasimlishe siku nzima ataendelea kujikausha?
nilimaanisha kuhusu kulia. yani unaamka usiku unamkuta macho ndo unamnyonyesha? kwahiyo kila ukiamka na yeye yuko macho, kimya anasubiri msosi?Nlikua naamka nakaa, hili swala la kulia mie najua ni shida siku ya kuzaliwa sijawahi kujua baada ya hapo asipolia ni shida
Hajawahi kulilia nyonyo nlikua nacheki tu baada ya masaa flani nampa, akiwa na njaa anazidisha kunyonya kidole ndio sign (ananyonya kidole).nilimaanisha kuhusu kulia. yani unaamka usiku unamkuta macho ndo unamnyonyesha? kwahiyo kila ukiamka na yeye yuko macho, kimya anasubiri msosi?
dah. mtoto mvumilivu kama lance lowrey.Hajawahi kulilia nyonyo nlikua nacheki tu baada ya masaa flani nampa, akiwa na njaa anazidisha kunyonya kidole ndio sign (ananyonya kidole)
Akiwa mchanga namuamsha ananyonya alivokua kua nikiona ananyonya kidole kwa nguvu najua anahitaji kula
 mvumilivu kama..... Ha ha ha hadah. mtoto mvumilivu kama lance lowrey.
I think mtoto anayeweza kujibembeleza ni mzuri.
hopefully Hamna any other underlying medical condition inayomfanya asilie hata!