Msaada: Mpenzi wangu nahisi ni tapeli

Msaada: Mpenzi wangu nahisi ni tapeli

Wanawake wa kiswazi taabu sana.
Kakubali dhiki zimtawale usimuache, mrekebishe taratibu mkuu. Ongea nae tu atakuwa ana matatizo mengi sana ya kiuchumi kama mtu anaondoka na mpaka sabuni ya unga.

Hana ajira na amepanga?au hajira yake haikidhi mahitaji.
Demu wangu akija gheto akikuta kuna mkate anabeba......nikaamwambia km ni njaa awe anakula tu gheto ila akawa haelewi nikaamua kumpiga chini
 
Demu wangu akija gheto akikuta kuna mkate anabeba......nikaamwambia km ni njaa awe anakula tu gheto ila akawa haelewi nikaamua kumpiga chini
Hatari kuna kipindi inabidi unaponunua kitu ununue mara mbili. Maana unajua kabisa kingine namnunulia mwenzangu. Ila mkuu hiyo isingekuwa sababu sana ya kumpiga chini.
 
jaap

Watu muna mioyo na uvumilivu , sijui ni utoto au ni kupenda, kilichobakia ni kukuibia kila kitu au kukubambikizia mtoto
 
Nipe namba yake ya simu kunajambo nataka kumwambia na ushauri zaid
 
Hatari kuna kipindi inabidi unaponunua kitu ununue mara mbili. Maana unajua kabisa kingine namnunulia mwenzangu. Ila mkuu hiyo isingekuwa sababu sana ya kumpiga chini.
Mwisho wa siku aliniibia saa niipendayo
Ndo ukawa mwisho wake....
 
😀😀Wanawake wa kiswazi taabu sana.

Kakubali dhiki zimtawale usimuache, mrekebishe taratibu mkuu. Ongea nae tu atakuwa ana matatizo mengi sana ya kiuchumi kama mtu anaondoka na mpaka sabuni ya unga.

Hana ajira na amepanga?au hajira yake haikidhi mahitaji.
Mkuu hujakutana na like ya jamaa

cc mkwepu jr
 
Back
Top Bottom