Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,536
Demu wangu akija gheto akikuta kuna mkate anabeba......nikaamwambia km ni njaa awe anakula tu gheto ila akawa haelewi nikaamua kumpiga chiniWanawake wa kiswazi taabu sana.
Kakubali dhiki zimtawale usimuache, mrekebishe taratibu mkuu. Ongea nae tu atakuwa ana matatizo mengi sana ya kiuchumi kama mtu anaondoka na mpaka sabuni ya unga.
Hana ajira na amepanga?au hajira yake haikidhi mahitaji.