Msaada: Mpenzi wangu nahisi ni tapeli

Wanawake wa kiswazi taabu sana.
Kakubali dhiki zimtawale usimuache, mrekebishe taratibu mkuu. Ongea nae tu atakuwa ana matatizo mengi sana ya kiuchumi kama mtu anaondoka na mpaka sabuni ya unga.

Hana ajira na amepanga?au hajira yake haikidhi mahitaji.
Demu wangu akija gheto akikuta kuna mkate anabeba......nikaamwambia km ni njaa awe anakula tu gheto ila akawa haelewi nikaamua kumpiga chini
 
Demu wangu akija gheto akikuta kuna mkate anabeba......nikaamwambia km ni njaa awe anakula tu gheto ila akawa haelewi nikaamua kumpiga chini
Hatari kuna kipindi inabidi unaponunua kitu ununue mara mbili. Maana unajua kabisa kingine namnunulia mwenzangu. Ila mkuu hiyo isingekuwa sababu sana ya kumpiga chini.
 
😀😀Wanawake wa kiswazi taabu sana.

Kakubali dhiki zimtawale usimuache, mrekebishe taratibu mkuu. Ongea nae tu atakuwa ana matatizo mengi sana ya kiuchumi kama mtu anaondoka na mpaka sabuni ya unga.

Hana ajira na amepanga?au hajira yake haikidhi mahitaji.
Mkuu hujakutana na like ya jamaa

cc mkwepu jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom