Kutafuta nae suruhu hapo ni ngumu sana, labda kama utakubali kua lolote lile na liwe kwa baadae. Vitu kma sabuni, perfume u aweza potezea. Lkn kwenye kumnunulia mashuka halafu hataki kuyapokea ndo matatizo yanalianzia hapo, pia kutotumia majina yake halisi pia ni shida, kuna uwezekano mkubwa kua hata ww umedanganywa jina halisi, siku atakufanyia tukio halafu utashindwa kwa kumpata. Pia inaonekana kwa tabia za uongo hauko peke yako, mtakua mnashare na wanaume wengi. Na hayo mambo anawafanyia watu wengi sio ww tu.
Kitu muhimu, usimuache nyumbani kwamo peke ake, hakikisha unatoka nae, usimwamini sana hata kma unampenda.
Mwisho, uchumba sio ndoa, achana nae tu, huyo kubadilika ni mpaka maisha yamkunje haswaa, au itokee kapata mimba ndo labda anaweza kutulia, lkn tofauti na hapo ndugu yangu jiangalie utakuja kupigwa geto zima.
Nb: usimwamini mwanamke Muongo kupitiliza, na asie tumia majina yake halisi, hawanaga mapenzi ya kweli, ila ni wadangaji mashuhuri ko kila mwanaume anatajiwa jina lingine ili msigunduane hata kwa bahati mbaya.