Ninayo nikamwambia nanunua nakuletea nimefika nampigia simu hataki kupokea mwisho kazima simu, na nikimpigia hapokea na sms hataki kujibu.
Mpeleke polisi
Yaani dalili zote hizo umeziona halafu ....bado tu unabebembeleza au mpk uje ukute gheto jeupe ndio ujue ...kuwa umepigwa
Ha ha ha . Hapana aisee jamaa anatoa hela kwa hiari hajalazimishwaMpeleke polisi
Kuna wale wanaibaga mbegu za kiume wanaondoka nazo, ukiachana na huyo utakutana na na wa aina hiyo. Kifupi umekutana na msela mwenzio, tofaut yake tu ni kwamba wewe umezama kwa msela mavi
Yes wapo sanaHawa sio wapenzi, inaonyesha bado uhusiano wao mchanga sana.
Lakini kuna wasichana wengi wanaoishi kwa uongo wa namna hii
Amekiri kuwa ni tapeliHa ha ha . Hapana aisee jamaa anatoa hela kwa hiari hajalazimishwa
Hajaiba katoa tu😁Unashangaa perfume? Hujaona sabani ya unga!
Uaminifu ni jambo zuri ukiomba pesa kwa mpenz wako kwaajiri yakutatua jambo basi jambo hilo lionekane umelifanya, baadhi ya wanaume tunafatilia kujua je mpenzi wangu nilimpa pesa yakununua mfano nguo au simu je kanunua! Tukiona ujafanya lolote basi tunajua hauna malengoKumbe....nimekumbuka jambo! Uaminifu ni jambo jema sana inalipa
😂😂😂😂Nikweli nilipekua simu yake nikaona kanisevu jina la sehem ninayo fanyiakazi
Wanaume tuna changamoto sana. Unakuta unafanyiwa ivyo lakini demu akija kitandani anakupa mambo ya uswazi hadi unasahau jina lako mwenyewe. Unajiona na wewe ni tapeli tu so mmekutana. Hapa hata tumshaurije lazima atabaki na huyo mwizi wake. Labda atupe bed profile kidogo ndo tutajua tunapambana na mtu wa sampuli ipiBado unamwita MPENZI??? Mimi nadhani mpenzi hawezi kuogopa kukuambia babe nimeipenda perfume naiomba au achukue vitu bila kusema
Kwa maelezo yako huyo ni MDOKOZI au KIBAKA