Wanawake wa kiswazi taabu sana.
Kakubali dhiki zimtawale usimuache, mrekebishe taratibu mkuu. Ongea nae tu atakuwa ana matatizo mengi sana ya kiuchumi kama mtu anaondoka na mpaka sabuni ya unga.
Hana ajira na amepanga?au hajira yake haikidhi mahitaji.



chaaa![]()
Huwa wanasema ndege wafananao huruka pamoja, so mkuu mmekutana![]()
duh hadi sabuni ya unga aibu gani hii, ila vipi hukumuuliza sabuni kaweka wapi huenda ameimisplace tu humo humo ndanii




Bado siku 5.
Tatizo siyo kutoa hela, tatizo lake uongo mwingi kwenye vitu vidogo vidogo, nilikwenda kwake alipo panga akanitajia vitu anavyo itaji kapeti ,mashuka, na godoro, na simu yake mbovu!! siku iyoiyo nikampa simu na hela yakapeti, baada ya wiki moja kupita nika mwambia nakuletea shuka nikashangaa ananiambia kwani uwez kunitumia hela za mashuka nikamjibu Mimi nipo dukani nanunua kabisa, na nika muhuriza kapeti umeshanunua akajibu ajanunua, Basi nakuletea mashuka tokea nimwambie ivyo ajapokea simu wala kunijibu sms zangu na akazima simu usiku mzima.Dah...Kama gem unapewa kiroho Safi...Acha kulialia...toa hela banaa![]()
Nilipo kutananae Mara yakwanza kanimbia jina lake na kwenye line ya simu kunajina tofauti na alilo niambia mwanzo nikamuuliza hakasema yote majina yake, kunasiku nimeenda alipo panga nikasikia wapangaji wenzakwe wanamuita jina ambalo silijui wala ajawai kuniambia.Kama ana-cheat hadi kwenye jina huyo ni viwango vingine, nadhani mheshimiwa kuwa nae ,unafanya mchezo wa kubet, tena umebeti nyumba pekee ya urithi
Hahahaaa hyo ni ishara tosha anakutumia, hana mapenzi na ww na mpo wengiNikweli nilipekua simu yake nikaona kanisevu jina la sehem ninayo fanyiakazi
Nilipo kutananae Mara yakwanza kanimbia jina lake na kwenye line ya simu kunajina tofauti na alilo niambia mwanzo nikamuuliza hakasema yote majina yake, kunasiku nimeenda alipo panga nikasikia wapangaji wenzakwe wanamuita jina ambalo silijui wala ajawai kuniambia.







Hapo pole mzee umepotea njiaa... Dangaa hiloo mamaee hakuna mashuka wala mito