Msaada Modem inagoma

BabM

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
1,167
945
Wakuu naombeni msaada ninatumia laptop vaio yenye kutumia window 8.1 sasa nına modem ya halotel ambayo nimeanza kuitumia kama wiki hivi. Kila ninapoitumia baadaya ya muda inafreeze laptop ambapo mpaka niizime na kuiwasha tena. Modem yenyewe ınaonekana anapata moto sana ıkıfanya hivyo wakati mwingine nikiitumia kiasi ya nusu saa tu hivi inagoma. Naombeni ushauri
 
Wakuu naombeni msaada ninatumia laptop vaio yenye kutumia window 8.1 sasa nına modem ya halotel ambayo nimeanza kuitumia kama wiki hivi. Kila ninapoitumia baadaya ya muda inafreeze laptop ambapo mpaka niizime na kuiwasha tena. Modem yenyewe ınaonekana anapata moto sana ıkıfanya hivyo wakati mwingine nikiitumia kiasi ya nusu saa tu hivi inagoma. Naombeni ushauri
Je, ukitumia modem ya aina nyingine inakuwaje ........ je,ulishawasiliana na Halotel wenyewe ............. Je, laptop yako feni zake zinafanyakazi .......... Je,laptop yake inauwezo gani .............Je,laptop yako iko bize kiasi gani. Nijibu haya kabla sijaendelea.
 
Je, ukitumia modem ya aina nyingine inakuwaje ........ je,ulishawasiliana na Halotel wenyewe ............. Je, laptop yako feni zake zinafanyakazi .......... Je,laptop yake inauwezo gani .............Je,laptop yako iko bize kiasi gani. Nijibu haya kabla sijaendelea.

Modem nyingine zafanyakazı, halotel wanasema nıende na laptop yangu ofısını kwao laptop yangu ıpo normal ına RAM 4gb na hdd 500. zaıdı ya shughulıza kıofısı na kuperuzı net sıchezı games wala kurun program zozote kubwasanasanaa nı kuwa fıles zangu nyıngı zıpo kwenye desktop sına hakıka kama hılı lınachangıa
 
Wakuu naombeni msaada ninatumia laptop vaio yenye kutumia window 8.1 sasa nına modem ya halotel ambayo nimeanza kuitumia kama wiki hivi. Kila ninapoitumia baadaya ya muda inafreeze laptop ambapo mpaka niizime na kuiwasha tena. Modem yenyewe ınaonekana anapata moto sana ıkıfanya hivyo wakati mwingine nikiitumia kiasi ya nusu saa tu hivi inagoma. Naombeni ushauri
tumia simu badala modem simu ziko vizuri kuliko hata modem
 
Modem nyingine zafanyakazı, halotel wanasema nıende na laptop yangu ofısını kwao laptop yangu ıpo normal ına RAM 4gb na hdd 500. zaıdı ya shughulıza kıofısı na kuperuzı net sıchezı games wala kurun program zozote kubwasanasanaa nı kuwa fıles zangu nyıngı zıpo kwenye desktop sına hakıka kama hılı lınachangıa
Nenda kwanza ofisini kwao uone watakusaidiaje,maana hiyo modem ni yao na kama ina shida watakubadilishia.
 
Wakuu naombeni msaada ninatumia laptop vaio yenye kutumia window 8.1 sasa nına modem ya halotel ambayo nimeanza kuitumia kama wiki hivi. Kila ninapoitumia baadaya ya muda inafreeze laptop ambapo mpaka niizime na kuiwasha tena. Modem yenyewe ınaonekana anapata moto sana ıkıfanya hivyo wakati mwingine nikiitumia kiasi ya nusu saa tu hivi inagoma. Naombeni ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom