Msaada: Mnafanyaje mambo yenu yaende poa?

Mizimu na tunayoibeba, mfano ukitembea na mwanamke Malaya , unaweza pata mizimu ya umalaya

Ukitembea na mwenye bahati na wewe unakua tajiri? Kama hivyo basi watu waanze umalaya walale na wenye bahati nao watoboe.

Haya mambo yenu yakusadikika hayana uhalisia kwenye maisha, ni story za vijiweni kama story zingine zote yani pure nonsense.
 
Nimefanya uchunguzi, mungu hapendi watu wema, kuwa na roho mbaya, USISAIDIE yoyote, hapo utafanikiwa
 
Don't Work hard,find the way to work smart then you will thank me later .

Technically unachofanya au unayoyafanya Huyapendi,unafanya TU,update ela.
 
Unasema Kichupa chako cha nyege kimejaa, ila midume ikija pm kukutongoza unawakataa, wanawake bhana Depal
 
Njoo inbox tusemezane. All is well.
 
Pole sana, hii story yako fahamu tu inaakisi maisha ya watu wengi sana mtaani na hata hapa JF.

What exactly do you want in this life?
 
Pole sana, hii story yako fahamu tu inaakisi maisha ya watu wengi sana mtaani na hata hapa JF.

What exactly do you want in this life?
I want my plans or hustle to work out.Kuanzia kwenye biashara or tender za kazi to be successful.
 
Hiyo 4 na 6 nmeexperience mkuu! Umeongea fact sana
 
I want my plans or hustle to work out.Kuanzia kwenye biashara or tender za kazi to be successful.
Okay...binafsi naamini majibu unayoyatafuta yako ktk hayo hayo unayoyafanya.

Kwa mfano, to be specific; sasa hivi ni kazi/shughuli gani unayoifanya au uliyonayo ambayo inaenda vibaya au badala ya kuleta faida inaleta hasara.
 
Mambo hayaendi!? Yatakuchelewesha, achana nayo, nenda mwenyewe
 
Hii ndo njia sahihi kuliko zote , mzee nipe Mbinu hata Mimi Nataka niondoe laana za mababu na wazazi,
Mkuu, unaijua chumvi ya mawe? Mlumbalumba/kamfumbe? Ndulele/mtulatula? Mti wa kisanvu? Kama wavijua hivi njoo pm nikuelekeze Cha kufanya, amini tu! Hakuna kafara wala masharti ya hovyo hovyo!
 
Mwenyezi Mungu alifanya Kila kitu ktk maisha yetu yawezekane, tatizo tunakosa maarifa!
Someni ecology vilivyo muelewe, tunategemeana kwa Kila kitu! Kutoamini hili ni ukosefu tu wa maarifa ila ukitambua kuwa elimu hiyo ipo kwa watu, heshimu upate maarifa na ukizingatia itakusaidia!
Mfano, hakuna tatizo kubwa tulilonao viumbe kama tatizo la njaa, tunajitibu tatizo la njaa Kila siku kwa lishe itokanayo na sisi wenyewe viumbe!
Tafakari chukua hatua, kuzaliwa maskini si tatizo lakini kufa maskini ni uzembe wako mwenyewe!
 
Naaam [emoji41]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…