Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Kutwa nzima umeshinda kazini,pengine nguo zina majasho na mavumbi halafu unataka umshike mtoto? Hata mimi.nisingekupa mtoto mpaka uoge.
Wala sio kuwa ni hofu ya kuwa na janaba,bali ni ustaarabu tu wa kawaida. Mwenyewe nikiwa na mtoto mdogo nikitoka nitokako huwa naingia bafuni naoga nabadilisha nguo ndio namshika mtoto na kumhudumia.
Wala sio kuwa ni hofu ya kuwa na janaba,bali ni ustaarabu tu wa kawaida. Mwenyewe nikiwa na mtoto mdogo nikitoka nitokako huwa naingia bafuni naoga nabadilisha nguo ndio namshika mtoto na kumhudumia.
