Msaada: Mikataba kwenye nyumba za Kupanga

Mtoa mada umeelezea kitu muhimu hapa,hili ndio tatizo la kuishi kwenye nchi ambayo sheria zipo ila utekelezaji wake ni mbovu mno,kumbuka miaka ya HON.MREMA na maduka ya nguruwe ,sheria ipo ya kusema haya maduka lazima yawe umbali Fulani kutoka kwa watu ambao nguruwe kwao imezuiwa lakini tulishuhudia haya maduka yakiwa mitaani mwetu na hili lilisababisha migongano ambayo haikuwa lazima;mikataba ya upangaji ipo na lazima ukubalike kwa pande zote mbili kabla ya mpangaji kuingia kwenye chumba au nyumba,kwanza ni muhimu wewe mpangishaji ujue background ya mpangaji mtarajiwa,bei ya upangaji,tarehe ya ulipaji,ulipaji utafanyika kivipi kama ni cash,eft,bank deposit etc etc,vile vile mpangaji mtarajiwa lazima alipe deposit(kodi ya mwezi na nusu)hii mpangishaji atatunza bank kwa ajili ya kucover in case mpangaji atamisuse au kukiuka sheria za upangaji,na on top of that mapangaji mtarajiwa lazima apewe sheria za upangaji na akubaliane nazo before ya kupanga,hizi sheria zinatamka haki na wajibu wa mwenye nyumba na mpangaji na nini kifanyike wakati mmoja wao anakiuka sheria hizo;mikataba yote hii ni vema ukasainiwa mbele ya witness au mwanasheria.haya yakifanyika hapa hakuna mgogoro kila kitu kipo kwenye maandishi.
Ukiishi Kwa Kufata Sheria Unaambiwa Unawanyanyasa ,Unaroho Mbaya, Any Ways Kwenye Pesa No Please No Sorry Mkuu Kama Hii MiKataba Nikifanikiwa Kuwa Nayo Itakuwa Njia Nzuri Ya Kila Mtu Kujipimia Size Yake

"NeVeR_sAy_NeVeR"
 
Kwani Mkuu Unataka Mkataba Gn! Nijuavyo Mm Nyumba Za Kupanga Nyng Hufanyika Makubaliano Ya Bei, Muda Wa Kupanga Pamoja Na Utaratibu Au Sheria Za Nyumba Husika. Hayo Hufanyika Kati Ya Mwenye Nyumba Na Mpangaji Inategemea Eneo Na Aina Ya Nyumba Yako. Mpangaji Akikubaliana Na Masharti Yako Na Akasaini Kisha Akalipa Hela Kopy Moja Kwake Na Ww Moja, Tayari Umemaliza. Kwenye Masharti Na Taratibu Zako Au Za Nyumba Yako Unazijua Mwenyewe. Matumizi Ya Vitu Mf. Umeme,maji,vyoo N.k Wapangaji Hushirikishwa Wakisimamiwa Na Mwenye Nyumba, Wakishakubaliana Mnaiweka Kuwa Sheria Na Adhabu Ipo. Mara Nyng Matumizi Ya Umeme Ndiyo Huleta Matatizo. Kuna Wengine Wana Vifaa Vingi Vya Umeme Wakati Wengine Wana Taa Tu Sasa Hao Hupangiwa Bei Tofautitofauti. Mpangaji Akiharibu Kitu Anatengeneza Kwa Gharama Zake. Kuwa Mkali Kwa Wapangaji Wako Sio Sababu Ya Kuwafanya Wakuheshimu. Jaribu Kuwasikliza,kuwpenda na Kuwaelimisha Inapohitajika. Mpangaji Akikiuka Masharti Yako Una Haki Ya Kumfukuza Na Taarifa Unampa Kabla Ya Miez 3 Ili Ajiandae
 
Ukiishi Kwa Kufata Sheria Unaambiwa Unawanyanyasa ,Unaroho Mbaya, Any Ways Kwenye Pesa No Please No Sorry Mkuu Kama Hii MiKataba Nikifanikiwa Kuwa Nayo Itakuwa Njia Nzuri Ya Kila Mtu Kujipimia Size Yake

"NeVeR_sAy_NeVeR"
and keep in mind hii pesa ya deposit lazima iwekwe bank,na faida itakayopatikana kutokana na fedha kuwa bank ni mali ya mpangaji aliyetoa,ILA mwenye nyumba kwa makubaliano atatumia hii fedha kufidia kama uhalibifu umefanyika
 
Back
Top Bottom