salehek
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 268
- 302
- Thread starter
- #41
Mkuu mimi nilimaliza mwaka ambao BRN inaanza 2013Jaribu bahati yako mkuu, udahili wa government una ushindani sana na inategemea na mwaka ila wewe unaweza kupata mana 2010 hio sio ma BRN wakizungua jitupie engineering kati ya Civil,mecha au Electrical