NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,973
- 1,205
Usiogope ajira zipo ila katika ajira utapambana na waliosoma computer science, Information technology na Informatiob systems..hizo zote ni kozi ambazo kwa serikalini ukiajiriwa utaitwa Afisa Tehama( ICT officer) kazi zipo sasa hivi kila halmashauri nchini lazima iwe na afisa Tehama kuanzia wawili, kwa ajili ya mifumo ya epicor , na mapato ...