then next time usipotoshe watu log file halitakiwi kufutwa na ni very important kwenye app/software yoyote ile. kazi ya log file ni kurekodi event zote za software ikicrash, ikipata taizo tunatumia log file kuangalia wapi umekwama. mfano wa log file
hio hapo juu ni log file ya server, hizo sehemu zenye error admin ataangalia log file na kusolve.
kwa case yako ya ant virus kila inaposcan lazima ieke log file ilianza saa ngapi, ikascan nini, walipatikana virusi/malware wangapi, nk
Kweli wewe unaakili za kuokoteza okoteza..
Eti log files zinarecord kila kitu kinachofanywa na app/soft.. Are really prove kwakudownload data kwenye website ya wiki.r1soft.com do u know who wrote that we dogo?
Log files zinarecord! Mungu wangu wa mbinguni.. Halafu unasema unajua! Kweli..
Yaani unaweka ma powershell halafu unayapest! HahahahahahahahaahahahAaaaa... Chief chief are u chief wa kudownload? Au chief wa kuokoteza? Do u know computer or mobi save memories kijana?
Hufai hata kueleweshwa.. Microsoft wenyewe huwa wanachukua maoni kwa watu na wenyewe ni software developers and programmers!! Where are u bwanamdogo.. Kwanini unakuwA mjuaji na hujui lolote dogo?
Nimekuuliza hata tofAuti ya hivyo vi dll files hujui!! Ndo nyie nyie mnaanzisha vijituisheni vya komputa kwa watoto wawatu mnawapoteza kabisa!
Nenda shule kijana acha wiZi wizi..
Halafu mimi sikueleza tu ni utafiti umefanywa! Swali, je umewahi hata kufanya research au thesis yoyote kuhusu chochote unachoeleza?
Moja ya log file inaitwa DumpLogRecords huwa ina Scans a specified log, filters log records based on record type, and places the records in an output file stream that the caller opens.
So, umesoma kwenye mtandao neno record then ukapaste!! MtAkuja kuumbuka bure bhana!
Mimi kama kitu sijui nauliza na naelekezwa.. Microsoft developers na hata wataalamu wakubwa huwa wanafanya hivyo!
Au ahaaa, unataka watu wakutaje taje chief sijui wa nini! Chief.. Basi unatabasaaaamu.. Acha mambo ya Ajabu! Afadhali hata ungesema hivi umeeleza kitu hiki, huwa kinakuwaje?
Wewe wala..! Developer mwenyewe!!
Mimi nawapotosha embu wewe eleza kidogo unawezaje ku record mobile events na computer events kwa kutumia algorithms calculation.. Fanya hivyo kama unaweza, kama hujaanza kusoma kwenye google na kuchanyikiwa!! Nakusubiri mr. chief Uchwara
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums