Msaada malware kwenye Android

Msaada malware kwenye Android

lionhard

Senior Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
194
Reaction score
43
Habari wana. Jf simu yangu Ina pop up kuwa kuna virus nIkiscan inasema kuna app zinaitwa Monkey test na time service n I have to uninstall them. Nikii uninstall baada ya mda zinarud tena na hcho kirusi. Mwenye msaada tafadhali.
 
Habari wana. Jf simu yangu Ina pop up kuwa kuna virus nIkiscan inasema kuna app zinaitwa Monkey test na time service n I have to uninstall them. Nikii uninstall baada ya mda zinarud tena na hcho kirusi. Mwenye msaada tafadhali.

Nami nimeanza kukutana na Adha kama hiyo tangu Juzi.
Hakuna AntiVirus yoyote ninayotumia.
MSAADA WENU TAFADHARI.
 
Are you rooted? If not just clear your browser cache..(just to be sure hope u did total factory reset.

If you are rooted install any system level adsense app like adaway then try scan for the misbehaving app. If it wont show worry not, adaway will kill the advert string before it launches.

Lastly... Always be conscious of the apps permissions you install esp "free paid stuff" from unapproved sources...
 
Are you rooted? If not just clear your browser cache..(just to be sure hope u did total factory reset.

If you are rooted install any system level adsense app like adaway then try scan for the misbehaving app. If it wont show worry not, adaway will kill the advert string before it launches.

Lastly... Always be conscious of the apps permissions you install esp "free paid stuff" from unapproved sources...

Thanks, I appreciate your advice.
 
Najaribu hyo link inagoma. Inasema: invalid post specified...
 
yangu nimeiroot sasa siyaoni tena matangazo ya cccm "kingroot" ndo mpango
 
Habari wana. Jf simu yangu Ina pop up kuwa kuna virus nIkiscan inasema kuna app zinaitwa Monkey test na time service n I have to uninstall them. Nikii uninstall baada ya mda zinarud tena na hcho kirusi. Mwenye msaada tafadhali.

Kirusi hicho kinaingia kwenye system hiyo hakuna antivirus yeyote mpaka sasa inayoweza Bali unatakiwa kufanya ni kuformat na ku install new rom
 
Isee usithubutu kufanya factory reset wakati umeroot simu yako. Utapoteza data zote. Back up haisaidii.
Unless ui unroot kwanza.

Mi nliroot vikatoka pia. Ila ni vyema ukajaribu hii kwanza.

Nenda setting>manage apps>all Apps>tafuta hizo apps zinazosumbua zi uninstall au zi disable then zima na uwashe sim. Inaweza kuwa solution.
 
Kirusi hicho kinaingia kwenye system hiyo hakuna antivirus yeyote mpaka sasa inayoweza Bali unatakiwa kufanya ni kuformat na ku install new rom

True.... hakuna antivirus ilosaidia
 
Back
Top Bottom