Mpigania Uhuru
Member
- Dec 5, 2011
- 78
- 93
Naombeni msaada Kwa mtu anayeelewa vizuri plan ya serikali kuhusu Namanga.
Mtaa wa Makangira Msasani.Eneo ninalozungumzia ni squatters pale nyuma ya maduka ya Namanga.
Kuna mtu anataka kuniuzia nyumba hapo naogopa nisije nikanunua Leo kesho serikali inakuja kuwahamosha watu.
Wakazi wa hapa wote wana leseni za makazi lakini nimejaribu kupeleleza sijapata mtu akanieleza future plan ya eneo hilo ni nini. Ila Jirani na huyo mtu anayeta kuniuzia kuna mtu anajenga ghorofa ila nilivyojaribu kuchunguza nimeona hajaweka kibali cha ujenzi nikajua nikahisi ni mambo Yale Yale ya squatters.
Naomba Kama kuna mtu anajua detail kuhusu eneo hili anijuze nisije nikaingia mkenge!
Mtaa wa Makangira Msasani.Eneo ninalozungumzia ni squatters pale nyuma ya maduka ya Namanga.
Kuna mtu anataka kuniuzia nyumba hapo naogopa nisije nikanunua Leo kesho serikali inakuja kuwahamosha watu.
Wakazi wa hapa wote wana leseni za makazi lakini nimejaribu kupeleleza sijapata mtu akanieleza future plan ya eneo hilo ni nini. Ila Jirani na huyo mtu anayeta kuniuzia kuna mtu anajenga ghorofa ila nilivyojaribu kuchunguza nimeona hajaweka kibali cha ujenzi nikajua nikahisi ni mambo Yale Yale ya squatters.
Naomba Kama kuna mtu anajua detail kuhusu eneo hili anijuze nisije nikaingia mkenge!