Naomba msaada kwa member yeyote mwenye ufahamu wa kutosha kuhusu makampuni yaliyosajiliwa hapa nchini kwaajili ya shughuli ya udalali/ minada (auction).
1. Je ni wizara gani inayojihusisha na haya makampuni ya udalali (auction)?
2. Je ni wapi ninaweza kupata orodha ya makampuni yaliyosajiliwa kwa shughuli za udalali (auction)
3. Je kuna sheria yeyote inayolazimisha makampuni ya udalali kutoa taarifa kwa public kuhusu tarehe na mahali itakapoendeshwa mnada? Je taarifa hiyo inatakiwa kutolewa siku ngapi kabla ya mnada wa hadhara?
4. Je ni chombo gani (taasisi ama mamlaka) kinachosimamia hii minada (auction) ili kuangalia kama haki imetendeka kwenye mnada wa hadhara? Yaani hapakuwa na upendeleo.
Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote yule atakayetoa muda wake kujibu haya maswali, asanteni!
1. Je ni wizara gani inayojihusisha na haya makampuni ya udalali (auction)?
2. Je ni wapi ninaweza kupata orodha ya makampuni yaliyosajiliwa kwa shughuli za udalali (auction)
3. Je kuna sheria yeyote inayolazimisha makampuni ya udalali kutoa taarifa kwa public kuhusu tarehe na mahali itakapoendeshwa mnada? Je taarifa hiyo inatakiwa kutolewa siku ngapi kabla ya mnada wa hadhara?
4. Je ni chombo gani (taasisi ama mamlaka) kinachosimamia hii minada (auction) ili kuangalia kama haki imetendeka kwenye mnada wa hadhara? Yaani hapakuwa na upendeleo.
Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote yule atakayetoa muda wake kujibu haya maswali, asanteni!