MSAADA: MAJINI WANYWA MAJI

MSAADA: MAJINI WANYWA MAJI

manento93

Member
Joined
Jul 19, 2018
Posts
54
Reaction score
33
Salam,

Ndugu yangu anasumbuliwa na mapepo yanayofanya atapike sana na kuishiwa maji mwilini (Nasema mapepo maana hata vitabu vya dini vimetaja aina za pepo wachafu)

Anaongea lugha za ajabu.
Anaimba kiajabu ajabu.

Hospital wameshindwa.
Mapasta hamna kitu.
Mashekhe hawajatatua.

Yani dripu za maji mfululizo kwa wiki nzima ndiyo nafuu yake.

Wakuu tupeni uzoefu. Niko chini ya miguu yenu. Tunatatizika sana na hili suala.


Shukran
 
Tazama hapo mshanar ume like lakini hujatoa ufafanuzi
 
Unamapesa ya kutosha nikuunganishe kwa sheikh wangu????

Huwa anawasomea watu wenye matatizo kama hayo na alhamdulillah amewasidia watu wengi sana.

Nimeuliza mapesa kwa makusudi manake hawa madudu wakiona wewe tabibu unajifanya unataka kumsaidia mgonjwa wanaweka bifu na tabibu mwanzo mwisho na huwa inatokea wanaweza kumkill kabisa,hivyo tabibu ataamua kujirisk kufanya maombi wakati anajua atapata salio la kutosha la kumliwaza.
 
Unamapesa ya kutosha nikuunganishe kwa sheikh wangu????

Huwa anawasomea watu wenye matatizo kama hayo na alhamdulillah amewasidia watu wengi sana.

Nimeuliza mapesa kwa makusudi manake hawa madudu wakiona wewe tabibu unajifanya unataka kumsaidia mgonjwa wanaweka bifu na tabibu mwanzo mwisho na huwa inatokea wanaweza kumkill kabisa,hivyo tabibu ataamua kujirisk kufanya maombi wakati anajua atapata salio la kutosha la kumliwaza.
Ndugu mbona inatisha!!!?
 
Back
Top Bottom