Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Amemuuliza ila binti hana details za kutosha, in short ni kama hajui.
Aende tu kwa binti taratibu zote atazikuta huko
Amemuuliza ila binti hana details za kutosha, in short ni kama hajui.
Habari wana MMU, kuna rafiki yangu anajiandaa kwenda kujitambulisha ukweni Lushoto Tanga, sasa alikuwa anaomba msaada wa mtu anaejua utaratibu, na hata kuorodhesha vitu vinavyotakiwa kwenye mahari kwa kabila la wasambaa, atashukuru.
Kama mko serious nitafuteni hata kwa pm! Sitanii
Embu weka hapa na mi nijifunze
Anataka apate idea ajipange,aangalie kama ana ubavu.
Kama ni kule kizara unaweza kukutana na vitu kama mkwiji wa babu, mahari ya mama, kifuta uchumba, kitenge cha bibi, kilinda zizi la babu, mahari ya mama na vikorombwezo vingine viingi.
Kikubwa ni kutunisha wallet tu.
Boha debe mbili, mnazi kibuyu kimoja kikubwa, ungo wa nkhungu mkaja, namengine wengine watamalizia.............
Ila nishakua na demu wa kisambaa.kama aujamtorosha autaweza kumuoa.kwao ukila mzigo ndio unatakiwa uoe.alafu wanajua ustarabu.wakijua ndio una mgegeda binti yao hawana shida unapewa
nzeze mndughu?