Msaada Lumia Phone

Msaada Lumia Phone

Yah, kwa jinsi nilovyosoma maelezo na nikaelewa ni kwamba.
1. Nadowngrade ROM yangu ya sasa kwenda ROM 8.0 ya Vietnam.
2. Nikishadowngrade kwenda ROM ya 8.0 ya Vietnam, simu itakuwa na field test option.
3. Baada ya hapo itaweza pokea updates za 8.1

Nisahihishe kama kuna nilipokosea.
yap upo sahihi
 
2. screen kuzima simu ikijipiga hata kama hujaieka simu sikioni inamaana umeziba sensor, either kwa protector au uchafu au kitu chengine. sensor inakaa juu mbele ya simu. hebu cheki vizuri

1. una uhakika eneo lako kuna 3g ya airtel? hebu fanya manual scan halafu angalia result kama wanayo 3g airtel au simu yako kama inaipata


Boss matatizo yote nimeyasolve tayari. Issue ya black screen tatizo lilikuwa Ni sensor. Now nimebadili touch screen naona ipo poa.

Issue ya 3G tatizo lilikuwa ni airte wenyewe. Walinipa line ilokuwa imelockiwa katika 2G only. So nilienda wakanifungulia.

Thanks in advance kwa Mwanga.
 
Mkuu nina hii Nokia lumia 620. Nimeibrick wakati nikidowngrade Win 10 preview kurudi win 8.1,mafundi wameshindwa, je hii itaweza kuifanya iwake kama kawaida?
inadetect usb? ukiconect pc inaiona?
 
Back
Top Bottom