Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,416
- 15,971
Wakuu nawasalimu kwa jina la JMT,
Imekua kawaida sasa kila nikipiga simu ya kwanza (kuanzia saa sita kamili usiku na kuendelea) napokelewa na ujumbe NDUGU MTEJA LINE YAKO HAIJASAJILIWA KWENYE MFUMO WA SPEED YA 4G HIVYO HUTAWEZA KUITUMIA KWENYE 4G TAFADHARI IBADILI SASA UPATE GB 7 BURE. Huu ujumbe unachukua kama sekunde 6 ndio simu ianze connection na ninaempigia. Maswali kwenu Airtel,
(1) Mnadhani sifahamu kwamba line ninayotumia ni 3G?
(2) Mna uhakika sehemu nilipo kuna 4G coverage?
(4) Mkichungulia kwenye matumizi yangu ya internet mshaona mimi ni mdau wa hii huduma?
(5) Mnanipotezea sekunde zangu 6 kuniambia the same ujumbe kila siku kwamba mshaniona mimi popoma hua nikiambiwa mara moja sielewi?
(6) Kama nimeamua kukomaa na 3G hamuoni kwamba nimeamua kujiridhikia na maisha yangu?
Kama huduma ni bora mtu atabadili mwenyewe bila hata kuambiwa, mjikite kwenye kuboresha viwango vya huduma na sio usumbufu huu mnaosababishia watu bila sababu za msingi. Kesho nikikutana na huu ujumbe tena MTANITAMBUA MIMI NI NANI, mark my words.
Imekua kawaida sasa kila nikipiga simu ya kwanza (kuanzia saa sita kamili usiku na kuendelea) napokelewa na ujumbe NDUGU MTEJA LINE YAKO HAIJASAJILIWA KWENYE MFUMO WA SPEED YA 4G HIVYO HUTAWEZA KUITUMIA KWENYE 4G TAFADHARI IBADILI SASA UPATE GB 7 BURE. Huu ujumbe unachukua kama sekunde 6 ndio simu ianze connection na ninaempigia. Maswali kwenu Airtel,
(1) Mnadhani sifahamu kwamba line ninayotumia ni 3G?
(2) Mna uhakika sehemu nilipo kuna 4G coverage?
(4) Mkichungulia kwenye matumizi yangu ya internet mshaona mimi ni mdau wa hii huduma?
(5) Mnanipotezea sekunde zangu 6 kuniambia the same ujumbe kila siku kwamba mshaniona mimi popoma hua nikiambiwa mara moja sielewi?
(6) Kama nimeamua kukomaa na 3G hamuoni kwamba nimeamua kujiridhikia na maisha yangu?
Kama huduma ni bora mtu atabadili mwenyewe bila hata kuambiwa, mjikite kwenye kuboresha viwango vya huduma na sio usumbufu huu mnaosababishia watu bila sababu za msingi. Kesho nikikutana na huu ujumbe tena MTANITAMBUA MIMI NI NANI, mark my words.