Msaada: Luku ipo lakini umeme ndani hauwaki

Coke Zero

JF-Expert Member
Mar 30, 2015
1,024
541
Wakuu,

Naombeni msaada wa haraka,

Jana nilimtuma mtoto akaweke umeme kwenye mita ya luku sasa wakati wa kuingiza nadhani alikosea mara nyingi lakini umeme ulikubali kuingia.

Sasa shida ni kwamba kwenye mita inasoma unity nilizoingiza lakini cha kushangaza umeme ndani hauwaki yani kama hamna umeme. Nimeita fundi ameangalia kila kitu hakuna shida ila akasema shida ni mita yenyewe imejiblock.

Naombeni kama kuna anayejua nawezaje kutatua hili tatizo
 
Wakuu naombeni msaada wa haraka,jana nilimtuma mtoto akaweke umeme kwenye mita ya luku sasa wakati wa kuingiza nadhani alikosea mara nyingi lakini umeme ulikubali kuingia.

Sasa shida ni kwamba kwenye mita inasoma unity nilizoingiza lakini chakushangaza umeme ndani hauwaki yani kama hamna umeme.
Nimeita fundi ameangalia kila kitu hakuna shida ila akasema shida ni mita yenyewe imejiblock!

Naombeni kama kuna anayejua nawezaje kutatua hili tatizo
mkuu hebu jaribu kuwatafuta wahusika tanesco nafikiri watakusaidia maana wameyafunga wenyewe na watakuwa wanayafahamu
 
Wakuu naombeni msaada wa haraka,jana nilimtuma mtoto akaweke umeme kwenye mita ya luku sasa wakati wa kuingiza nadhani alikosea mara nyingi lakini umeme ulikubali kuingia.

Sasa shida ni kwamba kwenye mita inasoma unity nilizoingiza lakini chakushangaza umeme ndani hauwaki yani kama hamna umeme.
Nimeita fundi ameangalia kila kitu hakuna shida ila akasema shida ni mita yenyewe imejiblock!

Naombeni kama kuna anayejua nawezaje kutatua hili tatizo
anaeweza ku-unblock ni mfunga mita tu, Tanesco.
 
Mimi iliwahi kunifanyia hivyo fundi alipokuja akasema ni shoti hivyo ilikua imejizima. Hebu angalia labda shoti inaweza kua chanzo
 
Wasiliana na Tanesco kuna namba watakupa utaiweka kwenye luku...halafu itafunguka au ku reset...wahi usije kula sikukuu gizani.
 
Wasiliana na Tanesco kuna namba watakupa utaiweka kwenye luku...halafu itafunguka au ku reset...wahi usije kula sikukuu gizani.
Kuna namba nawapigia hawapokei kama unaifahamu nisaidie mkuu
 
Mimi iliwahi kunifanyia hivyo fundi alipokuja akasema ni shoti hivyo ilikua imejizima. Hebu angalia labda shoti inaweza kua chanzo
Mkuu nimemuita fundi amesema hakuna shida yeyote zaidi ya mita yenyewe
 
Kama fundi kasema haoni tatizo kwenye main switch na circuit breaker waite tanesco warekebishe wenyewe. Kuna kifaa Kinafanna na circuit breaker kipo ndani ya luku hicho ndio huwa kunusumbua. Tafadhali. Fundi asikate seal za kurekebisha. Waite tanesco wenyewe wakate n warekebishe
 
Kama fundi kasema haoni tatizo kwenye main switch na circuit breaker waite tanesco warekebishe wenyewe. Kuna kifaa Kinafanna na circuit breaker kipo ndani ya luku hicho ndio huwa kunusumbua. Tafadhali. Fundi asikate seal za kurekebisha. Waite tanesco wenyewe wakate n warekebishe
Sawa mkuu
 
Wakuu,

Naombeni msaada wa haraka,

Jana nilimtuma mtoto akaweke umeme kwenye mita ya luku sasa wakati wa kuingiza nadhani alikosea mara nyingi lakini umeme ulikubali kuingia.

Sasa shida ni kwamba kwenye mita inasoma unity nilizoingiza lakini cha kushangaza umeme ndani hauwaki yani kama hamna umeme. Nimeita fundi ameangalia kila kitu hakuna shida ila akasema shida ni mita yenyewe imejiblock.

Naombeni kama kuna anayejua nawezaje kutatua hili tatizo
Nenda katoe taarifa Tanesco ili mafundi waje kuangalia na kukupa msaada.
 
Meter imeingia Temple hio Boss unatumia Zipi ni Hizi za Mradi Rea, Symbion au Hivi vimits vya juu ya Nguzo? Kama ni zamradi zinakuwa Na Circuit Breaker ambayo haiko Sealed icheki kama ime Trip ndani ya Meter apo pia tuambie ni indicator zipi zinawaka kwa Dashboard apo, Angalizo usikate seal yoyote Ukikwama Kachukue TB ofisi yoyote ya Tanesco Watarekebisha
 
Unatumia mita zile Za remote au zile Za Zamani Za kuweka vocha hapo hapo?
 
Back
Top Bottom