Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,736
- 27,099
Lodge hupokea wageni wanao kaa muda mrefu Kama 2 ,3wks hata miezi Ila guest house hupokea wageni waleo kesho hawapo hawa tunawaitaga (wasoma gepu)Hivi kuna tofauti gani kati ya Lodge na Guest House ?
Ile Masuka bado ipo?kulikua na disco mkanyageni na sijui walikua wanapika nini pale, hotel kuubwa ila huduma za ajabu kabisa.Ukifika Morogoro mahali sahihi pa kulala ni Spring Hill Hotel
Bei elekezi Tsh. 30,000/ hadi 40,000/
Kola view lodge...location imetuliaHabari wakuu
Soon nitaelekea morogoro naomba msaada wa kujua lodge nzuri
Location-Morogoro mjini
Range from 15k-25k
Natanguliza shukrani
Guest gani hio kwa jina?1. Kuna usalama ??
Hapo nilipoenda usalama ulikuwepo ndio ..pia imezungukwa na ukuta
2. Maji ya moto (heaters) ?
Hapana
3. AC ?
Ipo feni ile ya juu ya umeme
4. Packing ??
Sio kubwa
5. Mataulo masafi ??
Ndio
6. Mashuka masafi ?
Ni masafi meupe
7. Usafi wa mazingira ??
Wako vizuri
8. Ambiance ??
Mandhari ni mazuri sio mabaya
9.plus wahudumu wako vizuri kuhudumia unasikilizwa
Hio ni chini ya 15
Nb
Sasa ukiwa na bajeti kama 20k na kuendelea unaweza kuta nyengine ndo zina kama heaters.
Sasa kama mtoa mada mwenye bajeti ya 15k anashindwa vip kui enjoy hapo
City Dream Lodge, ipo vibandani karibu na DolphinsNa mimi kesho nafika moro, je sehemu nzuri ya kulala ni moro mjini au msamvu? Na lodge gari nzuri?
Bajeti yangu 20,000 mpaka 30,000.
Hapa pazuri ila usisahau kuwaambia bei imesimama...kama sikosei bei inaanzia elf 70Kings Hotel karibu na msamvu kuja stand ya Dom
Iko wapi? Tupe sifa zakeUzi unakimbia
Nashukuru nilikwenda nikafikia spring hill hotel
Asanteni sana
Kisa cha kwenda kulala na mnyama tena anayetumiwa na chama cha siasa ni niniKuna nyingine ina jina hilo ipo upande ule wa kuelekea Mafisa.πππππ
IPO sahihi, kingsway hotel gharama kidogoHapa pazuri ila usisahau kuwaambia bei imesimama...kama sikosei bei inaanzia elf 70
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhh....usiwe unamuongelea muuza mapazia. My business partner huyo.Sure naijua..kuna mlokole mmoja anajifichiaga hapo ananywea hapo..dah maisha haya..ni famous Moro...ana kanisa lake..so hucho ndo kijiwe chake..anakunywa hapo jumapili anahubiri kanisani
Karibu na kiwanda cha Tumbaku au Soko la Mawenzi maarufu panajulikana kwa Daudi Mkondya ni lodge nzuri
Mshikaji fulani ana maduka fulaan maarufu hapa mjini...
Daaah......hapa laazima aondoke na kunguni/chawa. Efu 12? Danguro la short timeSikumbuki vzr ila ina range kwenye 12-14000 hapa