Du baada ya kubofya hii kitu kwenye red nimekikubali ,amaa kumbe wengi tunashabikia majina,hii kitu ukiwa bongo waweza kuipata wapi ndugu na inaweza ku cost kiasi gani,hii kitu ni kama laptop kabsaa etiMkuu tafuta kitu inaitwa "ASUS SLIDER" ndio mwisho wa matatizo, hapo hakuna cha IPAD wala nini yaani utagundua kuwa nyingine ni majina tu!!