Msaada: Line yangu ya Tigo inasumbua

Msaada: Line yangu ya Tigo inasumbua

Eliya Dawa

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
270
Reaction score
164
Jamani samahanini,

Wale wenye mautundu ya line,

Line yangu aina ya Tigo ilianza kutotoa delivery report nikituma sms nikabadili program lakini bado tatizo halikuisha mwishoni mwa wiki ilopita imeanza kamchezo SMS haziingii zikitumwa ila kwangu zinatoka.

Nalaumiwa sana sana na marafiki zangu kuwa sijibu SMS lakini kwenye simu yangu hamna sms inayoingia wiki nzima sasa.

Je, kuna mtu anaejua tatizo ni nini anisaidie?
 
Back
Top Bottom