Msaada ; Laptop yangu imegoma kuboot

Msaada ; Laptop yangu imegoma kuboot

mkadiriajimajenzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
551
Reaction score
618
Ni Toshiba laptop Satelite Niliitumia fresh kwa muda wa lisaa limoja ikaisha charge ikazima nilipojaribu kuiwasha tena inatoa mwanga kidogo kwenye screen halafu inazima.nimejaribu kuhold F8 cjafanikiwa
 
Ni Toshiba laptop Satelite Niliitumia fresh kwa muda wa lisaa limoja ikaisha charge ikazima nilipojaribu kuiwasha tena inatoa mwanga kidogo kwenye screen halafu inazima.nimejaribu kuhold F8 cjafanikiwa
Fanya programming hiyo inabidi ya window
 
Mkuu booting inaweza kuwa Escape au F8 na F9 pia, Fanya ivi chomoa battery afu itoe kwenye power afu hold iyo button ya kuwsha ku utilize moto baada ya muda rudisha battery power on na boot
 
Back
Top Bottom