Msaada: Laptop haiwaki mpaka mwisho

Msaada: Laptop haiwaki mpaka mwisho

Oxpower

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,183
Reaction score
3,118
Waungwana msaada tafadhali.

Kuna laptop dell latitude/ D830 zile za kizamani imegoma kuwaka,

Mwanzo wa tatizo
Madogo walikua wanangalia movie,ikazima kutokana na charge kuisha maana umeme haukuwepo.

Baada ya umeme kurudi wakachomeka charg kama kawaida,baada ya kutaka kuiwasha ndipo ikawa inashindwa kufika mwisho.
20200410_100340.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo laptop kwanza haikai chaji ni pasi
jambo jingne CMOS battery imekufa kabisa yaan imeishiwa uwezo
hvyo ukitoa kwenye umeme tu inajidefault setting ndo inakuwa inafanya hvyo lkn huwa haichelewi sana inawaka
sasa kwakuwa inakataa kabisa na umesema imezima baada umeme kukatika wkt mnacheck movie na mpk sasa inaishia hapo hapo basi kuna uwezekano HDD imezingua
cha kufanya toa HDD then iwashe hvyohvyo uone utavuka hapo na kukuomba boot au unabonyeza f2 ikupeleke seting uone km itakuja faster au itaendelea hapohapo kuload
man huyo state hapo inaread device zote km ziko okay then ndo inaruhusu booting
sasa fanya hvyo kuangalia shida ni HDD ama ni nini !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waungwana msaada tafadhali.

Kuna laptop dell latitude/ D830 zile za kizamani imegoma kuwaka,

Mwanzo wa tatizo
Madogo walikua wanangalia movie,ikazima kutokana na charge kuisha maana umeme haukuwepo.

Baada ya umeme kurudi wakachomeka charg kama kawaida,baada ya kutaka kuiwasha ndipo ikawa inashindwa kufika mwisho.
View attachment 1414808

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kwanza hakikisha kama inaingia kwenye bios. Kikawaida inakuwa f2 otherwise watakwambia press button ipi kuingia setup.

Kama inakubali bios inamaana ni tatizo tu la kawaida la software jaribu kuingia safe mode ufanye system restore. Hujasema unatumia windows gani.
 
hiyo laptop kwanza haikai chaji ni pasi
jambo jingne CMOS battery imekufa kabisa yaan imeishiwa uwezo
hvyo ukitoa kwenye umeme tu inajidefault setting ndo inakuwa inafanya hvyo lkn huwa haichelewi sana inawaka
sasa kwakuwa inakataa kabisa na umesema imezima baada umeme kukatika wkt mnacheck movie na mpk sasa inaishia hapo hapo basi kuna uwezekano HDD imezingua
cha kufanya toa HDD then iwashe hvyohvyo uone utavuka hapo na kukuomba boot au unabonyeza f2 ikupeleke seting uone km itakuja faster au itaendelea hapohapo kuload
man huyo state hapo inaread device zote km ziko okay then ndo inaruhusu booting
sasa fanya hvyo kuangalia shida ni HDD ama ni nini !!

Sent using Jamii Forums mobile app
Betri inakaa sana tu,ila ilishiwa moto na umeme haukuwepo ko ikazima.ko shida inaweza kuwa hivyo hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kwanza hakikisha kama inaingia kwenye bios. Kikawaida inakuwa f2 otherwise watakwambia press button ipi kuingia setup.

Kama inakubali bios inamaana ni tatizo tu la kawaida la software jaribu kuingia safe mode ufanye system restore. Hujasema unatumia windows gani.
Ni Window 7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo laptop kwanza haikai chaji ni pasi
jambo jingne CMOS battery imekufa kabisa yaan imeishiwa uwezo
hvyo ukitoa kwenye umeme tu inajidefault setting ndo inakuwa inafanya hvyo lkn huwa haichelewi sana inawaka
sasa kwakuwa inakataa kabisa na umesema imezima baada umeme kukatika wkt mnacheck movie na mpk sasa inaishia hapo hapo basi kuna uwezekano HDD imezingua
cha kufanya toa HDD then iwashe hvyohvyo uone utavuka hapo na kukuomba boot au unabonyeza f2 ikupeleke seting uone km itakuja faster au itaendelea hapohapo kuload
man huyo state hapo inaread device zote km ziko okay then ndo inaruhusu booting
sasa fanya hvyo kuangalia shida ni HDD ama ni nini !!

Sent using Jamii Forums mobile app
mtaalamu akitoa hdd itaboot vipi? au nishazeeka sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom