MSAADA: Kwenye ununuzi wa simu za Vivo

MSAADA: Kwenye ununuzi wa simu za Vivo

Samsung wako vizuri sana hujui tu unaloliongea. Mie nina Samsung Note 20 Ultra na Samsung A 51 tofauti ni mwonekano tu ila vitu vingi sana viko sawa
atleast iyo A 51 yaah nakubaliana na wewe ni simu kabisa ila kushuka chini hakuna simu for sure me ni phone dealer na experience nazo
 
Samsung wako vizuri sana hujui tu unaloliongea. Mie nina Samsung Note 20 Ultra na Samsung A 51 tofauti ni mwonekano tu ila vitu vingi sana viko sawa
atleast iyo A 51 yaah nakubaliana na wewe ni simu kabisa ila kushuka chini hakuna simu for sure me ni phone dealer na experience nazo
 
A10 ilikuwa simu nzuri sana, A10s, A11, A12 etc ndio walianza kuchakachua.
Mkuu shikamoo, pole na majukumu.
Nina kama laki 3 nipo mkoani, nahitaji unisaidie kununua simu, atakuja kuchukua mdogo wangu.

Ninaomba msaada wako, hasa kutokana na utaalamu wako wa simu. Muhimu iwe inakaa na chaji vema, RAM 3 AU 4. Je naweza kupata? Nime ku PM pia.
 
Mkuu shikamoo, pole na majukumu.
Nina kama laki 3 nipo mkoani, nahitaji unisaidie kununua simu, atakuja kuchukua mdogo wangu.

Ninaomba msaada wako, hasa kutokana na utaalamu wako wa simu. Muhimu iwe inakaa na chaji vema, RAM 3 AU 4. Je naweza kupata? Nime ku PM pia.
Kuna mdau alipost simu za Tigo

2865088_Screenshot_2021-07-31-21-22-19-862_org.telegram.messenger.jpg


Hio Redmi 9 kwa 360,000 ni simu nzuri sana kama unaweza ongeza hadi 390,000 chukua ya 64GB version. 360k ni 3gb na I hope hio 390k ni 4gb.

Hizo redmi 9A ama 9C ama Samsung A02s zinapatikana chini ya laki 3 Sema ukishindwa kabisa kupata Redmi 9 ndio consider hizo.

Hope kwenu Duka la tigo lipo.
 
Kuna mdau alipost simu za Tigo

2865088_Screenshot_2021-07-31-21-22-19-862_org.telegram.messenger.jpg


Hio Redmi 9 kwa 360,000 ni simu nzuri sana kama unaweza ongeza hadi 390,000 chukua ya 64GB version. 360k ni 3gb na I hope hio 390k ni 4gb.

Hizo redmi 9A ama 9C ama Samsung A02s zinapatikana chini ya laki 3 Sema ukishindwa kabisa kupata Redmi 9 ndio consider hizo.

Hope kwenu Duka la tigo lipo.
Ahsante sana mkuu, sema tigo situmii! Pia sihitai yenye masharti ya laini mkuu.
 
Kama kichwa kinavyojieleza, Nimevutiwa na hizi simu za Vivo ila sijawahi kizitumia, kwa wale wanaozitumia vipi "functionality" yake?

Nimepita kwenye page ya Vivo Instagram nikaiona hii simu:
Vivo Y20s specifications zake ni
4gb RAM
128gb storage
5000mAh battery
Bei 637,000/=

Naombe ushauri wenu mnaoifahamu hiyo simu, Mimi siyo mtaalamu sana wa simu ila napenda simu inayokaa na chaji[emoji3].

Natanguliza shukrani zangu.[emoji120]
Tafuta vivo next Dual screen ram 10 .......hatari dunia
 
Yes unatumia ila nenda na laini ya tigo ata ya ndugu yo wampe ofa hizo usiziache ni nzur sana zinasaidia kwa msim huu wa ukal wa bando
Hapo nimeelewa boss, ninayo. Ila huku redmi 9 hamna ipo 9C, wacha niangalie nijilipue. Ahsante sana.
 
Hapo nimeelewa boss, ninayo. Ila huku redmi 9 hamna ipo 9C, wacha niangalie nijilipue. Ahsante sana.
Nenda wambie unatka sim waagize HQ wao ije kisha ukachukue unalipia kabisa nusu kwa biti ili wajue we mteja kisha ikifika unafuat mzigo wako .
Note bei zimeshuka wasikupige nina chanzo changu kutoka HQ
 
Nenda wambie unatka sim waagize HQ wao ije kisha ukachukue unalipia kabisa nusu kwa biti ili wajue we mteja kisha ikifika unafuat mzigo wako .
Note bei zimeshuka wasikupige nina chanzo changu kutoka HQ
Sawa nitaenda kuongea nao, hiyo 9 HQ ni bei gani mkuu, ili wasinipige
 
Back
Top Bottom