Bruda 1977
Member
- Apr 27, 2010
- 5
- 0
Habari gan wana JF!
Ni shirika gani au kampuni gani inayoweza kunijengea nyumba kwa gharam nafuu?
kwani mm nina kiwanja changu maeneo ya Mbezi, kina Title deed, waungwana nadhani mnajua kujenga nyumba bongo si rahisi sana kwa mishahara yetu ya kudunduliza. Nahitaji shirika au kampuni inyoweza kuwa na uaminifu na uwezo wa kunijengea njumba kwa gharama nafuu, ulipaji uwe zaidi ya miaka kumi toka kwenye mshahara wangu tafadhari.
Ni shirika gani au kampuni gani inayoweza kunijengea nyumba kwa gharam nafuu?
kwani mm nina kiwanja changu maeneo ya Mbezi, kina Title deed, waungwana nadhani mnajua kujenga nyumba bongo si rahisi sana kwa mishahara yetu ya kudunduliza. Nahitaji shirika au kampuni inyoweza kuwa na uaminifu na uwezo wa kunijengea njumba kwa gharama nafuu, ulipaji uwe zaidi ya miaka kumi toka kwenye mshahara wangu tafadhari.