baraka muyabi
Senior Member
- Aug 13, 2012
- 162
- 58
Habari wana kijiwe wenzangu....nina tatizo katika simu aina ya huawei y 300 kila nkipiga au kupigiwa baada ya muda fulani kama dk moja au sekunde 40 inakata mawasiliano ninaewasiliana nae hanisikii ila mi namsikia au yeye ananisikia...je chili ni tatizo la simu au mtandao... msaada wenu wana jamvi