Msaada kwenye Hisense smart TV

Msaada kwenye Hisense smart TV

Inatakiwa kuzima kwanza kwa remoti yake kisha ndo unazima ukutani.. sio ndio mkuu?
Yes naongelea kwa uzoefu, sumsung tv yangu ilikufa kwa kuzima shortcut yani mtu unazima ukutani moja kwa moja pasipo tumia remote, unatumia remote halafu unamalizia ukutani, haya mavitu yamepanda bei sana tutumia kwa akili
 
Binafsi TV za led kwangu kama mkosi, sizinunui ngo nanunuaga tu za mtumba flat screen /zinanifia kila uchwao infact TV hizi zinatuibia fedha tu /
1.7milion inch 58 hisense ikikufia hiyo pesa ingefaa iwe mtaji,

Hivi ni brand gani ni imara na inavumilia mikikimiki ta umeme kukatikw ghafla
 
Ukitaka pata box jeupe zile hazisumbui Sana
Duhhhh mkuu mbona mnatuchanganya, wengine wanasema box ya kaki ndio nzuri kuliko box nyeupe na kigezo hicho huendana ata na bei zake, maana box za kaki ni bei kubwa kidogo kuliko nyeupe, Kama hutojali hebu tusaidie uzoefu wako katika hili
 
Nilikua na mpango wa kuchuku hizo hisense..kumbe ni vipengele?

#MaendeleoHayanaChama
Nilishatoaga angalizo mapema sana kipindi hizi Tv zinaingia reviews hazikuwa nzuri hata ulaya huko wenyewe wamekiri zina kipengele cha kuua screen. Zilikuja kuzipiku TCL sokoni na watu wakazivamia kichwa kichwa ila TCL inabakia kuwa best budget television hata kwa ubora.
 
Duhhhh mkuu mbona mnatuchanganya, wengine wanasema box ya kaki ndio nzuri kuliko box nyeupe na kigezo hicho huendana ata na bei zake, maana box za kaki ni bei kubwa kidogo kuliko nyeupe, Kama hutojali hebu tusaidie uzoefu wako katika hili
Hio pesa yako kanunue TCL Android TV hutajuta ukipata series 5 au 6.

TV zao ni budget tv nzuri na imara compared na Hisense...
 
Hio pesa yako kanunue TCL Android TV hutajuta ukipata series 5 au 6.

TV zao ni budget tv nzuri na imara compared na Hisentcl

Hio pesa yako kanunue TCL Android TV hutajuta ukipata series 5 au 6.

TV zao ni budget tv nzuri na imara compared na Hisense...
TCL ziko vizuri, watu wanadunda nazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom