wamepandisha bei pamoja nakudai tshs kushuka wajiandaa mwezi sita au wa saba kunakinyang'anyilo cha kupata milki ya kurusha mipira msimu ujao.
lakini naamini africa mashariki azam atashinda tu.
dstv wezi kabisa beinsport ni laki 350 mwaka mzima pamoja na dekoda
Hiyo Explora ndio Premium package?Hakuna cha explora hapo!
Explora ni full HD channels zote.
Mkuu,
Tafadhali kama unafahamu kiasi kipya kwa sisi wa explora nijulishe.
Hiyo Explora ndio Premium package?
Acha hizo!Kila decoder I premium package ila cha HD ZAPPA na EXPLORADECODER zianatofautiana bei za packages cha explora kiko juu sana sababu kina features nyingi na ni moe advanced.
Acha hizo!
Premium ni TZS 165,000/- kwa Ving'amuzi vyote vya DSTV kuanzia April mwaka huu! Kabla ya hapo ilikuwa 142,000!
Explora ni ghali kwenye kuinunua na wala haihusiani na bei za vifurushi!
Acha hizo!
Premium ni TZS 165,000/- kwa Ving'amuzi vyote vya DSTV kuanzia April mwaka huu! Kabla ya hapo ilikuwa 142,000!
Explora ni ghali kwenye kuinunua na wala haihusiani na bei za vifurushi!
Ni ujinga kulipia laki na 60 kisa mpira au movie. Mie tv naangalia habari tu
Decoder ya kawaida ya dstv inauzwa 139,000/- ila Explora kinauzwa 410,000/- ambacho kiatofautiana na cha kwanza kwa malipo ya mwezi na packages zake sababu hiki ni High Definition channel zote.
Explora ni aina ya Decoder ambayo ninayo. Package yake ambayo uwa nailipia tangu nimenunua ni premium. Uwa nalipia Tshs. 142,000 (bila kurekodi).
Sasa kutokana na ongezeko la bei nilitaka kujua kiasi kilicho salia ili nilipie na naamini humu kuna mtu atakuwa na ufahamu kuhusu hili.
Pia, due payment ilikuwa April 10 ila mimi nililipia April 03. Na tatizo nikaanza kuliona ilipofika April 10 la hiyo sign ya E 16-4 kwenye TV.