Ndugu wanasheria wote mlioko humu naomba mnipe muongozo juu ya jambo hili kwani kila kitu kipo wazi toka September jukwaa hili lilifungwa na December hii ilitakiwa lifunguliwe lakini bado.
Sasa kama JamiiForums ilitimiza hukumu na sisi Wanajamiiforums, TCRA haijatimiza wajibu wake hvyo kuna uvunjwaji wa sheria hapa.
Hivyo naomba msaada wa kishera juu ya hili kama member wa jamii forums ambaye nanyimwa Uhuru wa habari
Mihimili yote kuanzia mahakama, bunge haipo huru ipo chini ya rais yeye ndo top say unategemea nini hapo!, labda zingekuwa mahakama za nje sio zetu uchwara hizi.
Ndugu wanasheria wote mlioko humu naomba mnipe.muongozo juu jambo hili kwani kila.kitu kipo wazi toka june jukwaa.hili.lilifungwa na december hii ilitakiwa lifunguliwe lakin bado
Sasa kama jamii forum ilitimiza.hukumu na ss wanajamio.forums TCRA haijatimiza wajibu wake hvyo kuna uvunjwaji wa sheria hapa
Hvyo.naomba msaada.wa.kishera juu ya hili kama member wa jamii forum.ambaye nanyimwa. Uhuru wa habar
Asanten sana
Serikali ya mbogamboga ni serikali ya hovyo kila eneo hata huko mahakamani hutapata haki, hapa dawa ni kuwapukutisha mdogomdogo kwa kuwatumia mapepo, majini, mashetani, majinamizi, mizimu n.k wafe kwa amani.
Tuko chini ya mkoloni CCM, mahakama ni za mkoloni, majaji ni wa wakokoni, hiyo kesi unaifungua katika mahakama za wakoni ukishtak chombo kinachomilikiwa na mkoloni.