fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
achana na mambulula hao wameumbwa kupondaponda tu na chuki kuwajaaa,ukichunguza utamkuta yupo tigo au voda wanasajili line,nawajua wengi sana walijidai vipanga na creative na sasa wapo wanaburn cd tu mtaaniFafanua
Maana NiT kuna ngazi ya diploma na degree
Ikiwa wanafunzi wa diploma wapo chini ya NACTE
Na wanafunzi wa degree wapo chini ya TCU
Sasa wanafunzi walio feli kuwepo NIT shida ni nani NIT au TCU na NACTE Fafanua kidogo mkuu ili tuelewe