John Chalz
Senior Member
- Apr 4, 2017
- 110
- 37
GarageNIT ni University au genge la waliofeli?
Ivi (hivi)Wakati mwingine
Uandishi unakera
Eti msahada! Ivi ni kutokujali au kweli kuandika neno msaada ni shida? Ina maana ata kulisoma na kulisikia mahali flani kwamba linaandikwa ivi pia hujawahi mwandishi?
umetisha mkuu hahahahaahaIvi (hivi)
Course ambayo ni unique ndio course gani hiyo? Maana kila course ni unique HR sio sawa na Mechanical na sio sawa na AviationHabar wana jf. Napenda kujua kwa undani chuo cha usafirishaji ktk taaluma na mazingira kwa ujumla pamoja na course ambayo ni unique kwa kada ya degreee. (Nmesoma EGM)![]()
![]()
ahsante nakaribisha mchango wenu wadau
Kwa nit kabda logistics and transport, Aircraft engineering na Account and transport nyengne zote utazipata vyuo vyengine zipoHabar wana jf. Napenda kujua kwa undani chuo cha usafirishaji ktk taaluma na mazingira kwa ujumla pamoja na course ambayo ni unique kwa kada ya degreee. (Nmesoma EGM)![]()
![]()
ahsante nakaribisha mchango wenu wadau
Kuna engineering kozi tatu .............................,..............
*mechanical engineering
* automobile engineering
*Air craft engineering
Njoo pm nikupe msaada, nakielewa vizuri hicho chuoHabar wana jf. Napenda kujua kwa undani chuo cha usafirishaji ktk taaluma na mazingira kwa ujumla pamoja na course ambayo ni unique kwa kada ya degreee. (Nmesoma EGM)![]()
![]()
ahsante nakaribisha mchango wenu wadau
Wewe mwenyewe kumbe ni unga unamkosoa mwenzio badala ndiyo nini sasa sio badala bhana ni baadaSio typing error, ni uzembe mtu kufika kidato cha sita halafu hujui kuandika lugha yako ya taifa. Ndo hawa hawachelewi kukufanyia operation ya kichwa badala ya mguu.
Ivi = HiviWakati mwingine
Uandishi unakera
Eti msahada! Ivi ni kutokujali au kweli kuandika neno msaada ni shida? Ina maana ata kulisoma na kulisikia mahali flani kwamba linaandikwa ivi pia hujawahi mwandishi?
Wewe mwenyewe kumbe ni unga unamkosoa mwenzio badala ndiyo nini sasa sio badala bhana ni baada
Sent from my GT-S7262 using JamiiForums mobile app
FafanuaNIT ni University au genge la waliofeli?
Fafanua mkuuGarage
Sio kweli. Ada za engineering ni 1.5M isipokua aircraft ndio 10.5mkozi za engineering pale NIT ada yake ndefuu not less than 4M kumbuka mwisho bodi inatoa 3.2M. Aircraft maintainance kama 10M hivi
Ungepost hapa kwa faida ya wengineNjoo pm nikupe msaada, nakielewa vizuri hicho chuo
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app