Msaada kwa wanaoifahamu DKT International

Msaada kwa wanaoifahamu DKT International

big result now

Senior Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
107
Reaction score
70
Hawa jamaa walitangaza nafasi za kazo mwaka jana mwezi wa 12, wamenipigua simu leo kuwa ninahitajika kwenye interview jumatatu.

Kiukweli nilishasahau maana toka mwaka jana mwezi wa 12 mpaka leo mwezi wa tano ni mda ushapita, nimejaribu kuwafuatilia google, lakini nimeona sio mbaya kuwauliza wadau kama wapo wanaowafahamu zaid wanipe taarifa zaidi.


Nafasi ni sales representative.
 
Kama unaishi Dar es salaam,panda bus shuka kituo cha sanyansi then fuata barabara ya kwenda kijitonyama/police mabatini utakiona kibao chao kipo mkono wako wa kushoto kwako
 
Back
Top Bottom