KB THE DON
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 250
- 117
Habari za jioni wakuu, awali natoa pole kwa pilika za kutwa kwa ujumla wake.
Kama mada inavyojieleza hapo juu.
Naomba kufahamishwa kuhusu vigezo na masharti ya kufunga ndoa ya kiserikali.
Zaidi ya yote naomba kujua nani anaifungisha ndoa hizo na ni wapi then unahitaji nini ili uweze kufunga ndoa hiyo.
Natanguliza shukrani
Kama mada inavyojieleza hapo juu.
Naomba kufahamishwa kuhusu vigezo na masharti ya kufunga ndoa ya kiserikali.
Zaidi ya yote naomba kujua nani anaifungisha ndoa hizo na ni wapi then unahitaji nini ili uweze kufunga ndoa hiyo.
Natanguliza shukrani
