Wa kupuuzwa
Member
- Oct 2, 2020
- 94
- 63
Wakuu Wasalaam
Mimi ni kijana, niliyemaliza kidato cha sita, na nimepata bahati kubwa ya kuchaguliwa miongoni mwa vyuo bora hapa nchini UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, katika kozi ya POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION.
Ni miongoni mwa kozi nazozipenda sana, kutokana na ambition yangu hapo mbeleni,
Brothers and sisters, kwa yeyote ambaye anasoma/aliyepata kusoma hiyo course,
1: Ugumu au wepesi wa course
2: Mapro wa course hiyo pamoja na tabia zao, za kipekee
3: Maeneo ya kufanya field n.k
Karibuni
Mimi ni kijana, niliyemaliza kidato cha sita, na nimepata bahati kubwa ya kuchaguliwa miongoni mwa vyuo bora hapa nchini UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, katika kozi ya POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION.
Ni miongoni mwa kozi nazozipenda sana, kutokana na ambition yangu hapo mbeleni,
Brothers and sisters, kwa yeyote ambaye anasoma/aliyepata kusoma hiyo course,
1: Ugumu au wepesi wa course
2: Mapro wa course hiyo pamoja na tabia zao, za kipekee
3: Maeneo ya kufanya field n.k
Karibuni