Msaada kwa walio Waislam

Msaada kwa walio Waislam

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
878
Samahani wakuu,sina access ya jukwaa la dini.Nimeona niulize maswali yangu apa tafadhali:

(1) Hivi inaruhusiwa kwenda beach na mkeo,na ni nguo gani za kuvaa,kwa maana hawezi kuingia na hijab ndani ya maji.

(2) Je ninaweza kwenda na mke wangu sehemu za miziki na kuburudika bila kutumia kilevi chochote.

(3) Je inaruhusiwa kuangilia miziki na vipindi vya burudani kwenye TV.miziki hii ya kizazi kipya na series.

N.B

Kama wewe hujui kitu sio busara kuchangia huu uzi.Na huu sio Uzi wa mabishano ya dini.
 
Tuanzie hapa. Unajua tofauti kati ya HALAL, KHARAM, MAKRUH, MUBAH, MUSTAHAB?
 
Tunasubilia majibu, sahizi wanaangalia mpira ( taifa stars)
 
Popote Uislam unakurusu kwenda muhim kutovuka mipaka ya HALALI NA HARAMI ukishachunga hivyo tuu nenda popote fanyavyovyote
 
Samahani wakuu,sina access ya jukwaa la dini.Nimeona niulize maswali yangu apa tafadhali:

(1) Hivi inaruhusiwa kwenda beach na mkeo,na ni nguo gani za kuvaa,kwa maana hawezi kuingia na hijab ndani ya maji.

Uislamu una misingi na kanuni zake kuhusu mambo tofauti. Katika kila jambo ambalo Muislamu anafanya anafaa achunge maadili ya Kiislamu.

Uislamu katika hilo umemhimiza mwanamke awe ni mwenye kujisitiri kwa kuvaa mavazi ya Kiislamu hasa anapotoka nje na hata akiwa ndani kukiwa na wanaume ambao si maharimu zake basi anafaa ajitande kabisa. Allaah Aliyetukuka Anasema:

“Ewe Nabii! Waambie wake zako, na binti zako, na wake za Waumini wajiteremshie nguo zao. Hivyo ni karibu zaidi kuweza kutambulikana wasiudhiwe” (33: 59).

Hakika ni kuwa mavazi ya kuogelea huwa hayana sitara kabisa. Pia tufahamu kuwa Allaah Aliyetukuka hataki wanawake wawe ni wenye kutoka ovyo ovyo kama walivyokuwa wakitoka nje wanawake katika nyakati za ujahili kwa kujirembesha, kuwa uchi au karibu kuwa uchi na mengineo. Ikiwa hapana budi mwanamke atoke nje basi hana budi kuvaa nguo za heshima kinyume na hivyo ataingia katika ujinga. Anasema Aliyetukuka:

“Na kaeni majumbani kwenu, wala msijishauwe kwa majishauwo ya kijahilia ya kizamani” (33: 33).

Jamaa za mume, hasa wa kiume ni watu ambao kisheria hawafai kuona uchi wako (mwanamke) na uchi mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja vya mkono. Ni vyema ikiwa mke hana budi kwenda beach basi asiogelee kabisa kwani atakuwa ameruka mipaka iliyowekwa na Allaah Aliyetukuka na Mtume Wake (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) wala isiwe beach ya mchanganyiko wa wanawake kwa wanaume ambapo ataona wanaume waliovaa nguo za kuogelea na hivyo kuona maeneo ya uchi yao.
 
Samahani wakuu,sina access ya jukwaa la dini.Nimeona niulize maswali yangu apa tafadhali:

(1) Hivi inaruhusiwa kwenda beach na mkeo,na ni nguo gani za kuvaa,kwa maana hawezi kuingia na hijab ndani ya maji.

(2) Je ninaweza kwenda na mke wangu sehemu za miziki na kuburudika bila kutumia kilevi chochote.

(3) Je inaruhusiwa kuangilia miziki na vipindi vya burudani kwenye TV.miziki hii ya kizazi kipya na series.

N.B

Kama wewe hujui kitu sio busara kuchangia huu uzi.Na huu sio Uzi wa mabishano ya dini.
Vyote ulivyotaja havitakiwi katika uislamu,kwa hiyo na1 unaweza kwenda beach BT hisiwe bar na mwanamke lazima ajisitiri
 
Samahani wakuu,sina access ya jukwaa la dini.Nimeona niulize maswali yangu apa tafadhali:

(1) Hivi inaruhusiwa kwenda beach na mkeo,na ni nguo gani za kuvaa,kwa maana hawezi kuingia na hijab ndani ya maji.

(2) Je ninaweza kwenda na mke wangu sehemu za miziki na kuburudika bila kutumia kilevi chochote.

(3) Je inaruhusiwa kuangilia miziki na vipindi vya burudani kwenye TV.miziki hii ya kizazi kipya na series.

N.B

Kama wewe hujui kitu sio busara kuchangia huu uzi.Na huu sio Uzi wa mabishano ya dini.
Mziki ni haramu kabisa
 
Tuanzie hapa. Unajua tofauti kati ya HALAL, KHARAM, MAKRUH, MUBAH, MUSTAHAB?
Ww umeishia kidato cha ngapi?? Yy kauliza nawe yafaa umpatie elimu... ss maswali hayo ya nn kama msingi wa hayo alouliza hajui..??
 
Duuuh!! Kumbeee eeh!?
Uislamu una misingi na kanuni zake kuhusu mambo tofauti. Katika kila jambo ambalo Muislamu anafanya anafaa achunge maadili ya Kiislamu.

Uislamu katika hilo umemhimiza mwanamke awe ni mwenye kujisitiri kwa kuvaa mavazi ya Kiislamu hasa anapotoka nje na hata akiwa ndani kukiwa na wanaume ambao si maharimu zake basi anafaa ajitande kabisa. Allaah Aliyetukuka Anasema:

“Ewe Nabii! Waambie wake zako, na binti zako, na wake za Waumini wajiteremshie nguo zao. Hivyo ni karibu zaidi kuweza kutambulikana wasiudhiwe” (33: 59).

Hakika ni kuwa mavazi ya kuogelea huwa hayana sitara kabisa. Pia tufahamu kuwa Allaah Aliyetukuka hataki wanawake wawe ni wenye kutoka ovyo ovyo kama walivyokuwa wakitoka nje wanawake katika nyakati za ujahili kwa kujirembesha, kuwa uchi au karibu kuwa uchi na mengineo. Ikiwa hapana budi mwanamke atoke nje basi hana budi kuvaa nguo za heshima kinyume na hivyo ataingia katika ujinga. Anasema Aliyetukuka:

“Na kaeni majumbani kwenu, wala msijishauwe kwa majishauwo ya kijahilia ya kizamani” (33: 33).

Jamaa za mume, hasa wa kiume ni watu ambao kisheria hawafai kuona uchi wako (mwanamke) na uchi mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja vya mkono. Ni vyema ikiwa mke hana budi kwenda beach basi asiogelee kabisa kwani atakuwa ameruka mipaka iliyowekwa na Allaah Aliyetukuka na Mtume Wake (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) wala isiwe beach ya mchanganyiko wa wanawake kwa wanaume ambapo ataona wanaume waliovaa nguo za kuogelea na hivyo kuona maeneo ya uchi yao.
 
Samahani wakuu,sina access ya jukwaa la dini.Nimeona niulize maswali yangu apa tafadhali:

(1) Hivi inaruhusiwa kwenda beach na mkeo,na ni nguo gani za kuvaa,kwa maana hawezi kuingia na hijab ndani ya maji.

(2) Je ninaweza kwenda na mke wangu sehemu za miziki na kuburudika bila kutumia kilevi chochote.

(3) Je inaruhusiwa kuangilia miziki na vipindi vya burudani kwenye TV.miziki hii ya kizazi kipya na series.

N.B

Kama wewe hujui kitu sio busara kuchangia huu uzi.Na huu sio Uzi wa mabishano ya dini.

Ambae sio Muislam karuhusiwa hayo? Ushahidi.
 

Mziki ni haramu kabisa
Hadi kaswida?
Ndio hadi kaswida

Kusikiliza music , kuangalia music na vipindi ambavyo havielimishi uislamu ni haram!!


Aiseeeeee!!!


Samahani wakuu,sina access ya jukwaa la dini.Nimeona niulize maswali yangu apa tafadhali:

(1) Hivi inaruhusiwa kwenda beach na mkeo,na ni nguo gani za kuvaa,kwa maana hawezi kuingia na hijab ndani ya maji.

(2) Je ninaweza kwenda na mke wangu sehemu za miziki na kuburudika bila kutumia kilevi chochote.

(3) Je inaruhusiwa kuangilia miziki na vipindi vya burudani kwenye TV.miziki hii ya kizazi kipya na series.

N.B

Kama wewe hujui kitu sio busara kuchangia huu uzi.Na huu sio Uzi wa mabishano ya dini.
 
Samahani wakuu,sina access ya jukwaa la dini.Nimeona niulize maswali yangu apa tafadhali:

(1) Hivi inaruhusiwa kwenda beach na mkeo,na ni nguo gani za kuvaa,kwa maana hawezi kuingia na hijab ndani ya maji.

(2) Je ninaweza kwenda na mke wangu sehemu za miziki na kuburudika bila kutumia kilevi chochote.

(3) Je inaruhusiwa kuangilia miziki na vipindi vya burudani kwenye TV.miziki hii ya kizazi kipya na series.

N.B

Kama wewe hujui kitu sio busara kuchangia huu uzi.Na huu sio Uzi wa mabishano ya dini.

Hivi siku hizi ' Great Thinkers ' wa JamiiForums tumefikia hatua ya Kuulizwa maswali ya ' Kindergarten hivi? Kazi ipo Kwakweli!
 
Back
Top Bottom