Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,630
- 4,013
Ukiwa na simu yenye android unakuwa upo kwenye upande wa convenience na ukiwa na iphone unakuwa upande wa inconvenience.
nilijua ukiwa umedownload nyimbo zinakuja kwenye simu mojakwamoja kumbe zinakaaa kwenye app husika ukiihitaji ni mpk ufungue tena app apo ndio naona mazoez kwan lile file lao la music lina kazi gani
Uza uje android phoneyaan mpk sasa sijaona njia rahis ya kupakua nyimbo
Komaa sasa usilalamike lalamike sawa.hahahah nimetumia sana izo ndugu nataka badilisha mazingira
nilijua ukiwa umedownload nyimbo zinakuja kwenye simu mojakwamoja kumbe zinakaaa kwenye app husika ukiihitaji ni mpk ufungue tena app apo ndio naona mazoez kwan lile file lao la music lina kazi gani
Hiyo ni apple music..jamaa anayosemea ni music player app inayokuja kama default app,ambayo inacheza nyimbo zilizopo kwenye simu baada ya kuamishwa kutoka device moja via itunesUmenichekesha iPhone music sio bure ,unalipia huduma so file hilo la music kama unataka music subscribers ni usd kwa mwezi
exactlyHiyo ni apple music..jamaa anayosemea ni music player app inayokuja kama default app,ambayo inacheza nyimbo zilizopo kwenye simu baada ya kuamishwa kutoka device moja via itunes
naombeni msaada wa jinsi ya kupakuwa nyimbo yani mp3 na video nina kaiphone 6 kangu hapa nataka kufahamu juu ya hilo asanteni......