MSAADA: Kwa waislam tu

MSAADA: Kwa waislam tu

Status
Not open for further replies.
Jesus commands to kill
little kids.
Mark 7:8-10 "8. You
have let go of the
commands of God and
are holding on to human
traditions." 9. And he continued,
"You have a fine way of setting
aside the commands of God in
order to observe your own
traditions! 10. For Moses said,
‘Honor your father and mother,'
and, ‘Anyone who curses their
father or mother is to be put to
death.' "
 
Did Jesus Command All
Unbelievers To Be
Killed?
Tough Questions for Christians
#11-
Killing All Unbelievers
Here, AZ quotes Luke 19:27,
where Jesus is quoting the
nobleman in his parable of the
minas, “As for those enemies of
mine, come and slay them in my
presence.” AZ mentions that it
doesn’t matter whether Jesus is
speaking for himself or God, the
point is, Jesus is commanding
that all unbelievers be killed.
 
JESUS commands you to KILL --
Its how THE CRUSADES started --
How Christians were versed to
OBEY their Roman KING, JESUS!
Then Pope Urban II with
Byzantine Emperor Alexius I
(Roman PAGAN Empire)
brainwashed The Christians after
their PAGAN Roman predecessors
carefully composed the New
Testament and made sure to add
verses that would cause strife,
murder, confusion, and adultery.
My focus will be on 'Murder'
VATICAN-JESUS said he was
bringing a sword.
Matthew 10:34 "Do not think that
I have come to bring peace upon
the earth. I have come to bring
not peace but the sword."
The Roman PAGANS didn't lie,
they gave this sword and told
The Christians it was the sword
of JESUS their KING and to wield it
in the blood of his enemies just
like JESUS commanded and The
Christians obeyed!
Luke 19:27 "Now as for those
enemies of mine who did not
want me as their king, bring
them here and slay them before
me."
His Father says "Thou Shall Not
Kill" <<-- 6th Commandment, 6th,
as in the sixth day when GOD
created man, ADAM.
The Father or The Son, you
decide!!
 
kiukweli sipendi sana kubishana na mambo ya dini, ila huko nnapoelekea nnatamani sana niifahamu uislamu in deep, tena staki nimfahamu mtume muhamad bali nataka nifahamu wengine walioendeleza jahazi. Halafu, ni lini jamani mtarekodi filamu ya maisha ya mtume muhamad hapa ulimwenguni. Sabu natamani nijue the way alizaliwa na kukua alipoanza huduma yake ya kufundisha na kusafiri sehemu mbali mbali, maisha yake binafsi na hadi kifo chake. Au kama kuna kitabu ambacho kinaelezea maisha yake kama kipo please naomba mnipe jina lake nikenda book store kule town nikanunue. Nawasilisha
 
kiukweli sipendi sana kubishana na mambo ya dini, ila huko nnapoelekea nnatamani sana niifahamu uislamu in deep, tena staki nimfahamu mtume muhamad bali nataka nifahamu wengine walioendeleza jahazi. Halafu, ni lini jamani mtarekodi filamu ya maisha ya mtume muhamad hapa ulimwenguni. Sabu natamani nijue the way alizaliwa na kukua alipoanza huduma yake ya kufundisha na kusafiri sehemu mbali mbali, maisha yake binafsi na hadi kifo chake. Au kama kuna kitabu ambacho kinaelezea maisha yake kama kipo please naomba mnipe jina lake nikenda book store kule town nikanunue. Nawasilisha
bana we,si una google tu,yanini kupoteza pesa kwenye kitabu?.

Vitabu vipo hata hivyo.
 
TYSON.jpg
 
Kama kawaida mjadala umebadilika na kuwa wa kurushiana maneno ya kidini!
 
Unaonesha hujui maana ya neno "dini", pata darsa dogo;

Dini ni neno la Kiarabu linalomaanisha "njia" kwa Kiswahili cha kawaida. Sasa wewe unauhakika hauna njia? unajiendea tu kama kondoo aliyepotea? Fikiri.

Yes, dini as we know its common usage definition! Inawezekana nisiwe na dini! Njia ya kwenda wapi? If kwenda kwa "Mungu" yes unaweza ukawa huna njia maana one does not believe in the so called "GOD", ALLAH whatever you name it!
 
Yes, dini as we know its common usage definition! Inawezekana nisiwe na dini! Njia ya kwenda wapi? If kwenda kwa "Mungu" yes unaweza ukawa huna njia maana one does not believe in the so called "GOD", ALLAH whatever you name it!

Hapana, si njia ya "kwenda kwa Mungu" kama ufikiriavyo, ni njia ya kuishi maisha yako hapa duniani.
 
Habari ndugu zangu,

Napendwa kujuzwa kuhusu vyakula vinavyotambulika na sheria za kiislam, yaani HALAL FOODS.

Kuna food flavouring ambazo zinatengenezwaga kwa kutumia ethanol (solvent).Mfano wa flouring hiyo ni VANILLA EXTRACT.Vanilla extract is obtained after extraction of vanillin from vanilla beans by using ethyl alcohol e.i. ethanol.Na flavouring(Kionjo) hiki kinatumika kwenye Ice cream,baked products na bidhaa kadha wa kadha za maziwa,mfano yogurt n.k

Swali langu ni hili,je ni haramu kutumia kionjo hiki au products zilizo-flavoured na vanilla extracts? Na kisheria vanilla ina 35% ya ethanol.
Naomba msaada kwenu wakuu.

Vyote Halal, vinatoka kwa Bwana,
 
Jesus commands to kill
little kids.
Mark 7:8-10 "8. You
have let go of the
commands of God and
are holding on to human
traditions." 9. And he continued,
"You have a fine way of setting
aside the commands of God in
order to observe your own
traditions! 10. For Moses said,
‘Honor your father and mother,'
and, ‘Anyone who curses their
father or mother is to be put to
death.' "

huwezi kumwelewa YESU huku majini Makatta, Subiani, Sheikhtaan yakiwa mwilini. Nakushauri piga nguruwe pande moja halafu rudia kusoma
 
Mh! Kazi ipo kweli kweli. Nimesoma coment zenu zote na nimegundua kuwa kuna tatizo la watu kujibu hoja ambazo aidha hawazijui au hawana uhakika nazo, pili kutovumiliana katika kutoa hoja, tatu matusi makubwa ambayo hayampi mtu nafasi ya kujifunza, nne ushabiki wa kidini na mwisho kuacha kujadili mada au baadhi kuingilia mada ambayo haiwahusu.

Cha kuwashauri ndugu zangu waislam ni kuwavumilia hawa wenzetu wakristo kwani wao hutafsiri mambo kulingana na interest zao ndo maana ili waukosoe uislam wanatafuta sehemu ambayo kuna mwanya wa kufanya hivyo kwa kutoa tafsiri zao. Pia kwa upande wa wakristo someni biblia na quran with a free mind kwa ajili ya kujifunza utaelewa which religion is right infron of the ALMIGHTY GOD.
Kuna tabia ya watu kuchanganya tabia ya mtu binafsi na mafundisho ya dini. Kwa mtu makini na mwenye fikra pevu hawezi kufanya hivyo. Uislam unafundisha amani, upendo utulivu na udugu miongoni mwetu. Kuhusu makundi yenye majhna ya kiislam hebu fuatilia behind the scene kuna kitu gani utaelew
 
Nguruwe ni haramu kwa waislam lakini ukiwa na baa la njaa imehalalishwa , haramu ni kile kitokacho mtu na si vinginevyo mfano umekula kitu ukakitap.... huwezi kurudia kula kwa vile kimeshakuwa haramu na damu ya mnyama awaye yeyote nayo ni haramu haipaswi kuinywa sasa kwa wale wapenda visusio njoo ubishe nikupe maandiko mnakunywa najisi.

Waislam hawali Nguruwe kwa sababu hakuna anayeweza kumchinja Nguruwe na au Kumuelekeza Kibra kule kwa jamaa Quraish Mkuu wa Mwezi
 
Haramu ni kuua watu wasio na hatia kwa jina la Allah!

Boko haramu, Al qaeda, Alshabaab hawa huwa wanakua wako stimu kabla ya kuua watu hovyo.

Siyo kila matendo ya mtu ambae ni Muislam ndo UISLAM, elewa hivyo! Kama ambavyo wewe ni Mkristo unachepuka kwa mfano halafu ikawa generalised eti ndo UKRISTO! Tupunguze na uzuzu wa makusudi
 
Soma hapa mkuu
sura 18:83-86. Jua linazama kwenye kisima cha tope na watu wanaishi hapo jirani na hicho kisima cha tope linapozama jua

ukibisha pitia hizi hadith mkuu ili upate ilim
sahil bukari vol 4 book 54 number 421
"Abzur Ghifari anasimulia,siku moja mtume akaniuliza je unajua baada ya jua kuzama linaenda wapi,nikamjibu sijui labda mtume wa allah unaweza kujua vizuri,mtume akajibu baada ya jua kutua linatulia kusubiri amri ya allah kuchomoza tena,siku inakuja ambapo jua likosa ruhusa ya kuchomoza tena"

pitia na hii uone mambo
sunan abu dawud 3991
" Abu Dharr anasimulia,nilikua nimekaa nyuma ya mtume wa allgb aliyekua anaendesha punda wakati jua lilipokua linazama. Mtume akaniuliza je unajua jua linazama wapi?nikamjibu allah na mtume wake wanajua zaidi. Akajibu akasema linazama kwenye kisima cha maji ya moto"

hizo hadith na aya zinatuambia jua linazama kwenye tope zito,lakini unajua jua huwa linachoka na linahitaji kupumzika kwa uchovu wa siku nzima??pitia hapa
sura 36:38-40 inasema jua lina sehem ya kulala na kujipumzisha kwa uchovu,. Je ushawahi kujua mwezi unaishi wapi au unauona tu unawaka??pitia hapa
sura 36:40 ujue kua mwezi na jua vinaishi pamoja,ni majirani na wala mwezi wala jua haliruhusiwi kumpita mwenzake,wanatakiwa watembee sambamba,pamoja,wakaribishane na waombane chumvi,ni majirani wema

mwisho pitia hapa sura 18:90 jua linazunguka dunia..

Watu wanaona nyota,jua,mawe,maji nk ila hawajui kwa nini allah aliviumba,sasa leo ujue kwa nini allah aliumba nyota,soma sura 67:5 na 37:6-8. Allah aliumba nyota zimlinde dhidi ya shetani,aliumba nyota kama makombora ya kumtupia shetani ili kumfukuzia mbali,nyota zipo kwa ajili ya kulinda mbingu za juu anapoishi mungu ili asipate mashambulio toka kwa shetani..una swali mkuu?
kahtaan Ritz gombesugu big show faby wanafahamu yote haya kuwa Mwamedi alikuwa ni Muongo na ni mtumwa wa Allah Mungu Mwezi...
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom