FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Mm sina dini naomba ni-declare interest kbs!Baba yangu amezikwa kikatoliki mama yangu amezikwa kiislam!Ila naona km mnapoteza muda wenu hivi vitabu ni vya mapokeo tu hlf hiyo biblia unayoandika hapa ni ipi ile ya Morogoro au King James versio maana nazo zimekuwa nyingi siku hizo mpk za kibarbaig zipo!Sidhani km dini ni tatizo la mtanzania wa leo zaidi ya uchumi na maisha bora ambayo hayaji pasi na mipango thabiti na jitihada za kufa mtu!Walioleta dini ndio wameleta matatizo yote nani nakumbuka story ya Gene Robinson yule mchungaji alieolewa kule Ulaya na juzi hapa ametalikiwa na nani anakumbuka Abbotabad wamarekani wkt wanamuua Osama walikuta nini zaidi ya viroba ya madawa ya kulevya?Tuwe makini tuangalie maisha yetu hizi dininzitapita nazo na sio tatizo lenu la msingi!Samahani km nimewakwaza!!!!!!
Sent from Banet Iphone!!!
Unaonesha hujui maana ya neno "dini", pata darsa dogo;
Dini ni neno la Kiarabu linalomaanisha "njia" kwa Kiswahili cha kawaida. Sasa wewe unauhakika hauna njia? unajiendea tu kama kondoo aliyepotea? Fikiri.