WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,422
- 1,405
Habari ndugu zangu,
Napendwa kujuzwa kuhusu vyakula vinavyotambulika na sheria za kiislam, yaani HALAL FOODS.
Kuna food flavouring ambazo zinatengenezwaga kwa kutumia ethanol (solvent).Mfano wa flouring hiyo ni VANILLA EXTRACT.Vanilla extract is obtained after extraction of vanillin from vanilla beans by using ethyl alcohol e.i. ethanol.Na flavouring(Kionjo) hiki kinatumika kwenye Ice cream,baked products na bidhaa kadha wa kadha za maziwa,mfano yogurt n.k
Swali langu ni hili,je ni haramu kutumia kionjo hiki au products zilizo-flavoured na vanilla extracts? Na kisheria vanilla ina 35% ya ethanol.
Naomba msaada kwenu wakuu.
Napendwa kujuzwa kuhusu vyakula vinavyotambulika na sheria za kiislam, yaani HALAL FOODS.
Kuna food flavouring ambazo zinatengenezwaga kwa kutumia ethanol (solvent).Mfano wa flouring hiyo ni VANILLA EXTRACT.Vanilla extract is obtained after extraction of vanillin from vanilla beans by using ethyl alcohol e.i. ethanol.Na flavouring(Kionjo) hiki kinatumika kwenye Ice cream,baked products na bidhaa kadha wa kadha za maziwa,mfano yogurt n.k
Swali langu ni hili,je ni haramu kutumia kionjo hiki au products zilizo-flavoured na vanilla extracts? Na kisheria vanilla ina 35% ya ethanol.
Naomba msaada kwenu wakuu.