benjamini org
Member
- Nov 1, 2016
- 41
- 6
Naombeni msaada kuhusu simu iliyoibiwa baada ya kupatikana ukitaka kuhakikisha kama ndo yenyewe unafanyaje! tofauti na ile njia ya ku backup photos kwa email kwani email haikumbuki mwenye nayo.
mkuu alama zote zipo nilihitaji tuu kama kuna udhibitisho mwingine ili utusaidieeDuu chako mwenyewe kisha ushindwe kukitambua hata kwa alama rahisi za nje? Leave alone serial numbers?
Jr[emoji769]
Kama zipo basi inatosha kabisa kuthibitishamkuu alama zote zipo nilihitaji tuu kama kuna udhibitisho mwingine ili utusaidiee