Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
....mnh! Nyamayao, wanawake wengi husema "ukweli" linapokuja suala hili.
Wengine hufikia hata kuwaambia"ukweli" wanaume wengine wawili - watatu iwapo
hana uhakika ni yupi 'aliyetumbukiza mpira kimiani.'
na ujinga wao...kwa mie ambae napenda kufikisha 50+ bila wrinkles za kujitakia kama uongo ukweli(sio ule uliopinda pinda, uongo wa kudumu) unaweza kunisaidia bac ctacta kuusema.